Crystal Palace Yatwaa UEFA Conference League Kwa Mara ya Kwanza
Klabu ya Crystal Palace F.C. imeandika historia mpya baada ya kutwaa taji la UEFA Europa Conference League kufuatia ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Rayo Vallecano katika mchezo wa fainali uliochezwa Jumatano Mei 27, 2026 kwenye Uwanja wa Red Bull Arena Leipzig nchini Germany. Bao pekee la ushindi lilifungwa na mshambuliaji Jean-Philippe Mateta katika dakika…