Kikosi cha Azam FC vs Simba SC
LEO Juni 4,2026 Simba SC vs Azam FC watamenyana mchezo wa fainali CRDB Cup, Uwanja wa Gombani huku Air Manula akianza langoni. Wengine ni Lusajo, Msindo, Lawi, Fuentes, Himid Mao, Sopu, Bin Zayd, Kitambala, Fei Toto, Idd Nado hawa watakuwa kikosi cha kwanza. Wachezaji wa akiba ni Foba, Twalib, Zouzou, Kibeku, Kanoute, Akamiko, Abah, Alobogast,…