Saleh

Mexico Yakubali Kuwa Mwenyeji wa Timu ya Iran Kombe la Dunia 2026 Kufuatia Mvutano na Marekani

Rais wa Mexico Claudia Sheinbaum ametangaza kuwa nchi hiyo itaihifadhi timu ya taifa ya Iran wakati wa mashindano ya 2026 FIFA World Cup baada ya Marekani kuonyesha kutotaka kuipokea kutokana na mvutano wa kisiasa unaoendelea. Sheinbaum amesema kuwa FIFA iliwasiliana na serikali ya Mexico kuomba msaada huo baada ya utawala wa Rais Donald Trump kueleza…

Read More

Yanga SC vs Namungo FC kikosi kazi hiki hapa

KIKOSI cha Yanga SC kinashuka leo Uwanja wa KMC Complex kuvaana na Namungo FC katika mchezo wa NBC Premier League ikiwa ni mzunguko wa pili langoni ameanza Djigui Diarra. Wachezaji wengine ni Yao Yao, Israel Mwenda, Bakari Nondo, Ibrahim Bacca, Damaro, Maxi Nzengeli, Duke Abuya, Prince Dube, Mudathir Yahya na Allan Okello. Wachezaji wa akiba…

Read More

NBC Premier League mechi za leo moto

MECHI za leo Mei 25, 2026 ni moto wa kuotea mbali na zinapigwa Uwanja wa KMC Complex kwa wababe kusaka pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90. Yanga SC hawa ni mabingwa watetezi wa ligi watamenyana na Namungo FC kwenye mchezo wa mzunguko wa pili. Wababe hawa wanatarajiwa kukutana saa 12:30 kusaka pointi 3 muhimu…

Read More

Planet Power Slots” yaibua gumzo kwa muonekano wake wa kisasa wa anga

Mitaa mingi sasa watu wanatafuta mchezo unaotoa burudani na ushindi wa kweli. Meridianbet wamejibu kwa kuachia Planet Power Slots, mchezo unaochanganya burudani kubwa na za kisasa pamoja na nafasi kubwa za kutengeneza hela. Planet Power Slots limeundwa kwa mtindo wa kipekee wenye sayari zinazometameta na picha kali sana. Ukianza kucheza tu unahisi kabisa umeingia kwenye…

Read More

Levante Kwenye Mtihani Mgumu Seville, Betis Wakitafuta Tiketi ya Ulaya

Mchezo huu wa mwisho wa msimu utapigwa Leo May 23 kwenye Uwanja wa La Cartuja, Seville kuanzia saa 22:00 usiku, Uwanja unatazamiwa kuwa na mashabiki wengi wa Betis ambao wanataka kuwaona wachezaji wao wakimaliza msimu kwa ushindi kabla ya kusherehekea kufuzu kwa michuano ya Ulaya. Kwa upande wa mabadiliko ya wachezaji, Diego Llorente na Cucho Hernández wanatarajiwa kurejea kwenye kikosi cha Betis…

Read More