Mexico Yakubali Kuwa Mwenyeji wa Timu ya Iran Kombe la Dunia 2026 Kufuatia Mvutano na Marekani
Rais wa Mexico Claudia Sheinbaum ametangaza kuwa nchi hiyo itaihifadhi timu ya taifa ya Iran wakati wa mashindano ya 2026 FIFA World Cup baada ya Marekani kuonyesha kutotaka kuipokea kutokana na mvutano wa kisiasa unaoendelea. Sheinbaum amesema kuwa FIFA iliwasiliana na serikali ya Mexico kuomba msaada huo baada ya utawala wa Rais Donald Trump kueleza…