Yanga SC yampotezea Diarra, ila Metacha alikutana nacho
UONGOZI wa Yanga SC umempotezea kiaina Djigui Diarra kutokana na kitendo chake cha utovu wa nidhamu alichofanya mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar. Kipa huyo raia wa Mali alikutwa na makosa mawili katika mchezo huo jambo lililopelekea kufungiwa mechi 3 huku uongozi wa Yanga SC ukibainisha kuwa umepokea taarifa za adhabu yake na wapo makipa wengine…