Mbappé Aweka Makazi Kwenye Mtaa wa Mastaa wa Soka
Kylian Mbappé ameanza maisha mapya ya kifahari nchini Hispania baada ya kuhamia kwenye jiji la Madrid kufuatia kujiunga na Real Madrid. Nyota huyo wa Ufaransa anaishi kwenye eneo maarufu la matajiri linaloitwa La Finca, ambalo linajulikana kwa kuwa makazi ya mastaa wa soka, wafanyabiashara wakubwa na watu maarufu duniani. Eneo hilo lina ulinzi wa hali…