Manchester United Wavutwia Mateus Kiungo wa West Ham Fernandes
Manchester United wanaripotiwa kuwa na nia ya kumsajili kiungo wa kati wa West Ham, Mateus Fernandes, kwa mujibu wa The Telegraph. Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 21 anatarajiwa kuondoka West Ham katika dirisha lijalo la majira ya joto, hasa kutokana na hali ya klabu hiyo inayokabiliwa na hatari ya kushuka daraja. West Ham kwa…