Messi Ang’ara kwa Hat-Trick, Argentina Yaichapa Algeria 3-0 Kombe la Dunia

Nahodha wa Argentina, Lionel Messi, ameandika historia nyingine usiku wa kuamkia leo baada ya kufunga mabao matatu (hat-trick) na kuiongoza Argentina kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Algeria katika mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Dunia. Mashabiki wengi walikuwa wakisubiri kuona mchango wa Messi mwenye umri wa miaka 39 katika mashindano hayo ambayo…

Read More

Namungo FC 0-0 TRA United

MCHEZO wa NBC Premier League uliochezwa leo Juni 16, 2026 Uwanja wa Majaliwa hakuna timu ambayo imepata bahati yakufunga goli ndani ya dakika 90.  Ubao wa Uwanja wa Majaliwa umesoma Namungo FC 0-0 TRA United, moja ya mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa uwanjani. Wababe hawa wawili wamegawana pointi mojamoja katika ligi namba 6 kwa ubora…

Read More

Azam FC 2-0 Mashujaa FC

Azam FC wameibuka na ushindi kwenye mchezo wa mzunguko wa pili dhidi ya Mashujaa FC kwenye mchezo wa NBC Premier League uliochezwa leo Juni 16, 2026 Uwanja wa Azam Complex. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Azam FC 2-0 Mashujaa FC, magoli yakifungwa na Sadio Kanoute dakika ya 39 na James Akaminko dakika ya 41….

Read More

Ratiba ya NBC Premier League

Ratiba ya NBC Premier League 2025/26 inaendelea kwa sasa ni mzunguko wa pili, lala salama ndani ya ligi namba 6 kwa ubora Afrika. Ni mechi mbili zinatarajiwa kuchezwa Juni 16 itakuwa saa 10:00 jioni, Namungo  vs TRA United, Uwanja wa Majaliwa. Saa 1:00 usiku, Azam FC vs Mashujaa FC, Uwanja wa Azam Complex. Juni 17,…

Read More

Allan Okello mtambo wa mabao NBC Premier League

Allan Okello kiungo mshambuliaji wa Yanga SC ni mtambo wa mabao ndani ya NBC Premier League 2025/26. Nyota huyo raia wa Uganda ni ingizo jipya katika kikosi hicho akiwa ametambulishwa dirisha dogo ana uwezo wakufunga na kutengeneza pasi za magoli. Ni magoli 11 na kutengeneza pasi 7 akihusika kwenye magoli 18 kati ya 60 ambayo…

Read More

Furahia Msisimko wa Soka na Ushindi Kupitia Goal Strike Frenzy ya Meridianbet

Mashabiki wa michezo sasa wana nafasi ya kufurahia aina mpya ya burudani kupitia Goal Strike Frenzy kutoka Meridianbet. Mchezo huu mpya umebeba kila kitu ambacho mpenzi wa soka anatamani; msisimko, burudani na nafasi za kushinda zawadi kubwa. Kila unapofungua mchezo huu, unahisi kama umeingia kwenye mechi muhimu inayosubiri matokeo makubwa. Hali ya ushindani na matarajio…

Read More

Dar Derby Yahamia Zanzibar! Yanga na Azam Kukutana New Amaan

Mashabiki wa soka nchini wanatarajiwa kushuhudia pambano kali la Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga SC na Azam FC litakalochezwa Juni 24, 2026 katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Mchezo huo unaotarajiwa kuvuta maelfu ya mashabiki kutoka pande mbalimbali za nchi unakuja wakati timu zote mbili zikiendelea kupigania malengo yao muhimu katika msimamo…

Read More