Hiki hapa kikosi cha Yanga SC vs Coastal Union
Yanga SC vs Coastal Union ni leo Mei 9, 2026 Uwanja wa KMC Complex saa 12:15 jioni. Langoni katika kikosi cha kwanza ameanza Djigui Diarra mabeki ni Yao, Boka, Nondo na Bacca. Viungo ni Duke Abuya, Maxi Nzengeli, Sheikhan Khamis, Allan Okello na Pacome huku mshambuliaji akiwa ni Prince Dube. Wachezaji wa akiba Masalanga, SureBoy,…