Lamine Yamal asema bado hajawa fiti kikamilifu, huenda asianze dhidi ya Saudi Arabia
ATLANTA, Marekani: Nyota wa Hispania, Lamine Yamal, amesema bado hajawa 100% fiti na huenda asianze kikosi cha kwanza katika mechi yao ya pili ya Kombe la Dunia dhidi ya Saudi Arabia. Yamal alifunguka kupitia kituo cha televisheni cha RTVE akieleza kuwa bado yupo katika mchakato wa kupona na kuzoea hali ya mashindano baada ya kuingia…