Meridianbet Yazidi Kuvutia Wachezaji Kupitia Mchezo wa Aviator

Meridianbet imewaletea vijana mchezo unaochanganya msisimko, kasi na fursa za ushindi. Aviator si mchezo wa kawaida, ni burudani inayokupa nafasi ya kufanya maamuzi yenye matokeo makubwa ndani ya sekunde chache. Kinachoufanya Aviator kuwa tofauti ni namna kila raundi inavyokuwa na nafasi mpya. Unaweza kuanza na mpango mdogo na kujikuta ukishusha ushindi mzuri kwa kutumia mbinu…

Read More

Ruto Aialika Arsenal Kutembelea Kenya Baada ya Sherehe Kubwa za Ubingwa

Rais wa Kenya, William Ruto, amesema ameialika klabu ya Arsenal kutembelea Kenya baada ya kushuhudia namna mashabiki wa timu hiyo walivyosherehekea ubingwa wa Ligi Kuu ya England kwa shamrashamra kubwa nchini humo. Akizungumza wakati wa Mkutano wa G7 uliofanyika nchini Ufaransa, Ruto alisema alishangazwa na ukubwa wa sherehe zilizofanyika jijini Nairobi na maeneo mengine nchini…

Read More

Mbeya City 0-1 Simba SC

Mbeya City 0-1 Simba SC, NBC Premier League, mchezo uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya Juni 17, 2026 kwa wababe hawa kupambania pointi 3. Goli pekee ka ushindi limefungwa na winga Ellie Mpanzu dakika ya 43 kipindi cha kwanza limedumu mpaka mwisho wa mchezo. Huu unakuwa ni mchezo wa 3 mfululizo Mpanzu anafunga kwenye NBC Premier…

Read More