Simba SC 1-0 JKT Tanzania, Meja Jeneral Isahmuyo
Simba SC 1-0 JKT Tanzania ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo NBC Premier League, Mei 6, 2026, Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo. Goli la ushindi limefungwa na kiungo mshambuliaji Clatous Chama dakika ya 54 limetosha kuipa timu hiyo pointi tatu muhimu. Mara baada ya mchezo kukamilika kiungo Chama amechaguliwa kuwa Man of the Match…