Erling Haaland Kuongoza Mashambulizi ya City Dhidi ya Brentford Leo
Leo Mei 9 saa 7:30 usiku, Uwanja wa Etihad utakuwa mwenyeji wa mchezo wa Ligi Kuu kati ya Manchester City ambao wanashikilia nafasi 2 na Brentford waliopo nafasi ya 7. City wakiwa na pointi 71 wapo nyuma ya Arsenal kwa pointi 5 lakini wana mchezo mmoja mkononi, hivyo ushindi ni lazima kwa ajili ya kukaa…