Ratiba ya NBC Premier League leo

NBC Premier League inaendelea ikiwa ni mzunguko wa pili msimu wa 2025/26 mabingwa watetezi ni Yanga SC wanaoongoza ligi na pointi 51.

Mei 8, 2026 Ijumaa zinatarajiwa kuchezwa mechi mbili kali kwa wababe kusaka pointi tatu muhimu uwanjani.

TRA United vs Azam FC, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, saa 10:00 jioni

Namungo FC vs Mashujaa FC, Uwanja wa Majaliwa, saa 12: 30 jioni

***

Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo na Moyo Wangu Unavuja Damu.  Kuvipata TUNAOMBA ODA 0756 028 371.

Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo ni simulizi inayozungumzia maisha ya Kiafrika, usaliti, visa, furaha. Wakazi wa Njombe kitabu kinapatikana Mtaa wa Mpechi kwa Chris Jabari, Kigamboni kwa Tupokigwe, Posta karibu na Mnara wa Askari ukiwa unaelekea chuo cha IFM. Kuna kazi mpya inaandaliwa inaitwa Msichana wa Maisha Yangu, jiandae kuipata.