Ratiba ya NBC Premier League leo

NBC Premier League inaendelea ikiwa ni mzunguko wa pili msimu wa 2025/26 mabingwa watetezi ni Yanga SC wanaoongoza ligi na pointi 51. Mei 8, 2026 Ijumaa zinatarajiwa kuchezwa mechi mbili kali kwa wababe kusaka pointi tatu muhimu uwanjani. TRA United vs Azam FC, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, saa 10:00 jioni Namungo FC vs Mashujaa…

Read More

Simba SC yatajwa kumpigia hesabu Chobwedo

INAELEZWA kuwa uongozi wa Simba SC upo kwenye hesabu za kuinasa saini ya kiungo wa TRA United Ramadhan Chobwedo. Kiungo huyo amekuwa kwenye ubora katika mechi za hivi karibuni dhidi ya vigogo wa Kariakoo jambo ambalo linatajwa kuwavutia mabosi wa Simba SC. Mbali na Simba SC imekuwa ikitajwa kuwa hata watani wa jadi wa timu…

Read More