Ratiba ya NBC Premier League leo
NBC Premier League inaendelea ikiwa ni mzunguko wa pili msimu wa 2025/26 mabingwa watetezi ni Yanga SC wanaoongoza ligi na pointi 51. Mei 8, 2026 Ijumaa zinatarajiwa kuchezwa mechi mbili kali kwa wababe kusaka pointi tatu muhimu uwanjani. TRA United vs Azam FC, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, saa 10:00 jioni Namungo FC vs Mashujaa…