Ligi ya Mabingwa: Arsenal na Atletico Madrid Kucheza leo, Soma Uchambuzi Hapa
Timu ya ligi kuu ya Uingereza na vinara wa ligi, Arsenal wanatarajiwa kusafiri kwenda Hispania ambapo watakuwa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa hatua ya Nusu Fainali. Kila timu inahitaji kushinda leo. Je wewe nafasi yako ya ushindi unaiweka kwa nani? Dakika 90 za moto zinatarajiwa kupigwa kule Hispania kwenye uwanja wa Civitas Metropolitano mechi…