Namungo FC 0-0 TRA United

MCHEZO wa NBC Premier League uliochezwa leo Juni 16, 2026 Uwanja wa Majaliwa hakuna timu ambayo imepata bahati yakufunga goli ndani ya dakika 90.

 Ubao wa Uwanja wa Majaliwa umesoma Namungo FC 0-0 TRA United, moja ya mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa uwanjani.

Wababe hawa wawili wamegawana pointi mojamoja katika ligi namba 6 kwa ubora Afrika kugota mwisho.

Namungo FC wanafikisha pointi 27 nafasi ya 12 na TRA United pointi 41 nafasi ya 5 zote zikiwa zimecheza mechi 27 zimesaliwa na mechi 3 kukamilisha mzunguko wa pili 2025/26.

Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo na Moyo Wangu Unavuja Damu.  Kuvipata TUNAOMBA ODA 0756 028 371.

Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo ni simulizi inayozungumzia maisha ya Kiafrika, usaliti, visa, furaha. Wakazi wa Njombe kitabu kinapatikana Mtaa wa Mpechi kwa Chris Jabari, Kigamboni kwa Tupokigwe, Posta karibu na Mnara wa Askari ukiwa unaelekea chuo cha IFM. Kuna kazi mpya inaandaliwa inaitwa Msichana wa Maisha Yangu, jiandae kuipata.