Ratiba ya NBC Premier League

Ratiba ya NBC Premier League 2025/26 inaendelea kwa sasa ni mzunguko wa pili, lala salama ndani ya ligi namba 6 kwa ubora Afrika. Ni mechi mbili zinatarajiwa kuchezwa Juni 16 itakuwa saa 10:00 jioni, Namungo  vs TRA United, Uwanja wa Majaliwa. Saa 1:00 usiku, Azam FC vs Mashujaa FC, Uwanja wa Azam Complex. Juni 17,…

Read More

Allan Okello mtambo wa mabao NBC Premier League

Allan Okello kiungo mshambuliaji wa Yanga SC ni mtambo wa mabao ndani ya NBC Premier League 2025/26. Nyota huyo raia wa Uganda ni ingizo jipya katika kikosi hicho akiwa ametambulishwa dirisha dogo ana uwezo wakufunga na kutengeneza pasi za magoli. Ni magoli 11 na kutengeneza pasi 7 akihusika kwenye magoli 18 kati ya 60 ambayo…

Read More