HAWA HAPA WAMEBEBSHWA KAZI NA KOCHA SIMBA

KOCHA Mkuu wa Simba Mbrazil, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amewaambia wachezaji wake wapya kuwa sasa ni muda wao muafaka wa kuonyesha thamani yao katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba inatarajiwa kuanzia ugenini nchini Zambia dhidi ya Power Dynamos katika hatua ya pili ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika mchezo utakaopigwa Septemba 15, mwaka huu. Kikosi…

Read More

AKUANZAE MMALIZE, ANGA LA BURUDANI LILIPATWA

MUZIKI unakua na muziki unatanuka na kupaisha mbawa zake kona mbalimbali za Dunia hii. Sio ajabu kumkuta mtu anasikiliza wimbo ambao hajui hata maana yake ila akaufurahia kwa hisia zake zote. Katika muziki wa kufokafoka ‘Hip-Hop’ sio ajabu sana kukuta wasanii wakitupiana maneno au wakivimbiana kwa kitu fulani au jambo fulani. Huyu atasema yeye ni…

Read More

UKUBWA WA SIMBA UMESHAFAHAMIKA

INAKUJA African Super League ambayo itashirikisha timu kubwa nane tu za Afrika kutoka katika kila ukanda wa bara hilo. Upande wa Afrika Mashariki, kigogo wa ukanda wetu ni Simba ambao ndio wanawakilisha ukanda wote. Simba ndio timu kubwa na maarufu zaidi katika ukanda wa Cecafa na hasa unapozungumzia masuala yanayohusu Shirikisho la Soka Afrika na…

Read More

MWAMBA SKUDU AMPA NGUVU GAMONDI

SKUDU Makudubela ingizo jipya ndani ya kikosi cha Yanga limeogeza nguvu katika kikosi hicho kinachoongoza ligi baada ya kukusanya pointi sita na mabao 10. Makudubela hakuwa katika mechi hizo mbili za ligi za ushindani ambazo ni Yanga 5-0 KMC na Yanga 5-0 JKT Tanzania kutokana na kutokuwa fiti baada ya kupata maumivu kwenye mchezo wa…

Read More

MAPUMZIKO YA DHAHABU YASIDUMAZE USHINDANI

WAKATI wa mapumziko kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara ni muhimu kuwa na manufaa kwa kila mmoja kuanzia benchi la ufundi mpaka wachezaji. Tumeona kabla ya ligi kusimama kuna baadhi ya timu ambazo zilikuwa kwenye mwendelezo mzuri wa kupata matokeo chanya. Haina maana mapumziko haya yawatoe kwenye ile kasi haitapendeza bali ni muhimu kuendelea pale…

Read More

ANSU FANTI NDANI YA BRIGHTON

RASMI sasa mshambuliaji Ansu Fati atavaa jezi za Brighton baada ya Alhamisi kukamilisha dili lake la kujiunga na timu hiyo kwa mkopo akitokea Barcelona. Fati ametolewa kwa mkopo Brighton baada ya kushindwa kumshawishi kocha wa Barcelona, Xavi Hernandez licha ya awali kuonekana kinda huyo atafanya makubwa kikosini hapo kiasi cha kukabidhiwa jezi namba 10 iliyovaliwa…

Read More

HAALAND AKOMBA TUZO

STRAIKA wa Manchester City, Erling Haaland Alhamisi aliendelea kula matunda ya kazi yake nzuri ambayo aliifanya msimu uliopita akiwa na kikosi hicho baada ya kufanikiwa kubeba tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume wa Uefa. Haaland ambaye alifunga mabao 36 kwenye Premier msimu uliopita alibeba tuzo hiyo kwenye hafla ya upangaji wa makundi wa Ligi ya…

Read More

SIMBA YAWAFUNGUKIA AL AHLY

BAADA ya droo ya African Football League kuchezwa na Simba kupangwa kuanza na Al Ahly ya Misri, uongozi wa Simba umeweka wazi kuwa wapo tayari kuonyesha ukubwa wao. Simba katika African Football League itaanza na Al Ahly katika hatua ya robo fainali mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Oktoba 20,2023 na ule wa marudiano itakuwa…

Read More

MAXI NAMBA 7 WA YANGA ATUMA UJUMBE HUU KIMATAIFA

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Maxi Mpia Nzegeli ameweka wazi kuwa malengo yake ni kuhakikisha kuwa anaisaidia timu hiyo kufanya vyema katika michuano ya kimataifa na kufikia malengo yao ya kufika hatua ya makundi. Yanga ili wafanikiwe kutinga katika hatua ya makundi wanatakiwa kuhakikisha kuwa wanawaondoa Al Merrikh katka mchezo unaofuata wa hatua ya pili ya…

Read More

MASTAA YANGA WAPIGWA STOP NA GAMONDI

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi raia Argentina ni kama amewashtukia wapinzani wao katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Al Merrikh ya Sudan kwa kuamua kufuta mapumziko kwa wachezaji wa timu hiyo na kuingia kambini na kuanza maandalizi kuelekea katika mchezo huo. Yanga ambao imeanza msimu huu kwa mafanikio kutokana na kutoa vipigo vizito katika Ligi…

Read More

MKWARA MZITO SIMBA IMETOA KIMATAIFA

HUKU droo ya mashindano maalum ya African Super League ikitarajiwa kupangwa rasmi leo Jumamosi, wawakilishi wa Tanzania katika mashindano hayo, Simba wamechimba mkwara mzito kwa kuweka wazi wamesuka mkakati mzito wa kuhakikisha wanapambania kushinda ubingwa wa mashindano hayo. Kuendana na waratibu wa mashindano hayo yanayotarajiwa kupigwa mwezi Oktoba, imethibitishwa yanatarajiwa kushirikisha timu za Petro de…

Read More

AIR MANULA AREJEA UWANJANI BAADA YA KUWA NJE KWA MUDA

AISHI Manula, kipa namba moja wa Simba amerejea rasmi uwanjani na kuanza mazoezi maalumu ili kurejea kwenye ubora wake. Kipa huyo ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Roberto Oliveira alipopata maumivu ni Ally Salim alikuwa mbadala wake. Manula hakuwa kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi msimu wa 2022/23 dhidi ya watani zao wa jadi Yanga…

Read More

TFF YATOA UFAFANUZI KUHUSU WAZIRI WA MICHEZO NDUMBARO

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetoa taarifa kuhusiana na taarifa zinazoenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro alifungiwa na shirikisho hilo kujihusisha na masuala ya michezo. Taarifa iliyotolewa na TFF kupitia kwa Afisa Habari na Mawasiliano, Cliford Ndimbo, imeeleza kuwa Ndumbaro alifungiwa kutojihusisha na masuala…

Read More

KAGERA SUGAR KUJA KWA MPANGO HUU

KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Maxime amefichua kuwa kwa sasa kikosi chake kinaendelea na mazoezi ikiwa ni baada ya kuanza vibaya kwenye michezo yao ya Ligi Kuu Bara. Baada ya kucheza mechi mbili haijakusanya pointi huku vinara wakiwa ni Yanga wenye pointi sita kibindoi. Yanga pia kwenye mechi mbili za ligi wametupia jumla ya…

Read More