>

SUALA LA SIMBA KUMSAJILI MNIGERIA PICHA LIPO HIVI

KIUNGO Mnigeria, Udoh Etop David, amethibitisha kwamba, hajafanikiwa kupata mkataba wa kuitumikia Simba baada ya kufanya majaribio kwa takribani wiki moja. Udoh akiwa kwenye majaribio hayo, alifanikiwa kucheza mechi mbili za Kombe la Mapinduzi, lakini ameshindwa kumshawishi Kocha Pablo Franco. kiungo huyo mkabaji, amesema licha ya kutarajia kupewa mkataba na timu hiyo, lakini hajafanikiwa na kwa sasa kitu ambacho anatarajia ni mipango ya safari yake kutoka Tanzania kurudi kwao Nigeria. “Maisha ya Tanzania ni mazuri na…

Read More

MKWAKWANI,DAKIKA 45,COASTAL UNION 0-1 YANGA

UWANJA wa Mkwakwani Januari 16 mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Coastal Union na Yanga ni mapumziko. Yanga inakwenda vyumbani ikiwa inaongoza kwa bao 1-0 katika dakika 45 za mwanzo. Ni bao la Fiston Mayele anamtungua Mussa Mbissa dakika ya 40 akiwa ndani ya 18. Coastal Union wanacheza mpira huku Yanga wakiwa katika mbinu…

Read More

CHAMA HESABU ZAKE NI MAKOMBE

CLATOUS Chama, nyota wa Simba amesema kuwa ni furaha kwame kurejea ndani ya timu hiyo. Chama aliibuka ndani ya RS Berkane msimu wa 2021/22 akitokea Klabu ya Simba na amerejea tena nyumbani. Ni usajili wa kwanza katika dirisha dogo na anatarajiwa kuwa kwenye kikosi cha kesho kitakachomenyana na Mbeya City Uwanja wa Sokoine. Nyota huyo…

Read More

KOCHA SIMBA AIBUKIA YANGA

MILTON Nienov aliyekuwa kocha wa makipa ndani ya Simba kabla ya kuchimbishwa leo Januari 16 ametambulishwa ndani ya Yanga. Nienov anakwenda kuchukua mikoba ya Razack Siwa ambaye anainoa timu hiyo kwa sasa. Kocha huyo raia wa Brazil aliweka wazi kuwa anaipenda Tanzania kutokana na ukarimu pamoja na mazingira mazuri. Alikuwa akimnoa Aishi Manula na sasa…

Read More

BREAKING:YANGA YAMALIZANA NA KIUNGO WA KAZI

Chico Ushindi ni Mwananchi baada ya kutambulishwa rasmi leo kuwa ndani ya kikosi hicho. Kiungo huyo mshambuliaji alikuwa anakipiga ndani ya kikosi cha TP Mazembe. Ametambulishwa rasmi leo Januari 16,2022 ambapo timu ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Nasreddine Nabi raia wa Tunisia. Anaungana na wachezaji wengine ambao ni Salim Aboubakhari, Aboutwalib Mshery na Dennis…

Read More

SIMBA WAMFANYIA HAYA KIUNGO CHAMA

UKISIKIA watu wanakwambia Simba wamefanya kufuru, basi amini kwamba ufanikishaji wa kuipata saini ya kiungoMzambia, Clatous Chama imetumika gharama kubwa sana. Chama ambaye amerejea Simba na kusaini mkataba wa miaka miwili, aliondoka kikosini hapo Agosti 2021, baada ya kuisaidia kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara mara tatu mfululizo kuanzia msimu wa 2018/19 hadi 2020/21na kutua RS Berkane ya Morocco. Pia Chama alikuwepo kwenye kikosi cha Simba kilichocheza hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika…

Read More

MSUVA APANDIWA DAU NA YANGA ,SIMBA

WAKATI dirisha dogo la usajili hapa nchini likifungwa usiku wa kuamkia leo Jumapili, kulikuwa na mchuano mkali kwa timu za Simba na Yanga kwa ajili ya kupata saini ya kiungo mshambuliaji wa Wydad Casablanca ya Morocco, Mtanzania, Simon Msuva. Msuva aliondoka Yanga, Julai 29, 2017, akiwa ameisaidia kuvuna mataji matatu mfululizo ya Ligi Kuu Bara na kutua Difaa El Jadida ya Morocco, kisha Novemba 10, 2020, akajiunga na Wydad. Habari zimeeleza kwamba,…

Read More

MKUDE ANA DENI KISA TUZO

KIUNGO wa Simba, Jonas Mkude, amefunguka kuwa kuchaguliwa kwake kuwa Mchezaji Bora wa Simba kwa mwezi Desemba, kumempa motisha ya kuendelea kupambana na kuendelea kuwa mchezaji muhimu ndani ya timu hiyo. Mkude alisema tuzo hiyo ni kama deni kwa mashabiki ambao wamemchagua hivyo anatakiwa kuendelea kufanya kazi zaidi ili asiwaangushe wale ambao waliona kuwa alifanya…

Read More

MBEYA CITY:TUMEJIANDAA KUPATA POINTI KWA SIMBA

KUELEKEA mchezo wao wa ligi dhidi ya Simba, benchi la ufundi la Mbeya City limetamba kuwa licha ya ubora walionao wapinzani wao lakini watahakikisha wanapata ushindi. Mchezo huo wa ligi unatarajiwa kupigwa Januari 17, mwaka huu kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Meneja wa Mbeya City, Mwegane Yeya, amesema: “Tunaendelea na maandalizi kuelekea kwenye mchezo wetu…

Read More

CHAMA HUYO KWENYE MSAFARA WA KUIVAA MBEYA CITY

KIKOSI cha Simba leo Januari 15 kimewafuata Mbeya City kamili kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Sokoine. Januari 17, Simba itakaribishwa na Mbeya City kwenye mchezo huo ambao unasubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki. Miongoni mwa nyota wa Simba ambao wapo kwenye msafara huo ni pamoja na Clatous Chama…

Read More

MAYELE ATUMA UJUMBE HUU COASTAL UNION

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Mayele, amesema kuwa kwa sasa malengo yao yote ni kuhakikisha wanapata matokeo mazuri katika mchezo wao unaofuata wa ligi kuu dhidi ya Coastal Union. Yanga kesho Jumapili wanatarajiwa kumenyana na Coastal Union wakiwa ugenini katika mchezo utakaochezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Yanga wataingia katika mchezo huo wakiwa na kumbukumbu ya…

Read More

SHIBOUB APOTEZEWA NDANI YA SIMBA

BENCHI la ufundi la Simba chini ya kocha mkuu, Pablo Franco, raia wa Hispania, limeachana na mpango wa kumpa mkataba aliyekuwa kiungo wa timu hiyo kutoka nchini Sudan, Sharaf Shiboub, kufuatia kutoridhishwa na kiwango chake alichokionyesha kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi. Shiboub amerejea nchini kwa ajili ya kufanya majaribio kwenye timu hiyo ambayo Alhamisi…

Read More