
MASTAA NIGERIA WATISHIWA MAISHA
WACHEZAJI wa timu ya taifa ya Nigeria, Maduka Okoye ambaye ni golikipa na kiungo Alex Iwobi inaelezwa kuwa wametishiwa kuuwawa baada ya timu yao ya taifa kuondolewa kwenye mashindano na Tunisia siku ya Jumapili. Kutokana na vitisho hivyo golikipa wa timu ya taifa ya Nigeria, Okoye alifunga sehemu ya wafuasi wake kuweza kuacha ujumbe kwenye…