YANGA YATUPIA MABAO 2-0 MBELE YA TAIFA JANG’OMBE

KATIKA michezo wa kwanza leo Yanga wameweza kuibuka na ushindj wa mabao 2-0 mbele ya Taifa Jang’ombe. Mabao ya Yanga yametupiwa na Heritier Makambo dakika ya 32 na lile la pili limepachikwa na Dennis Nkane. Ni bao la kwanza kwa Nkane baada ya kuibuka hapo akitokea kikosi cha Biashara United na amefunga bao hilo dakika…

Read More

YANGA 1-0 TAIFA JANG’OMBE, DAKIKA 45

MABINGWA watetezi wa Kombe la Mapinduzi Yanga wanakwenda mapumziko wakiwa mbele kwa bao moja kwa nunge. Dakika 45 zimekamilika na ubao unasoma Yanga 1-0 Taifa Jang’ombe. Bao la kuongoza limefungwa na Heritier Makambo dakika ya ya 32 akiwa nje ya 18. Pia nyota mpya wa Yanga Dennis Nkane ameanza kikosi cha kwanza leo Januari 5,2022…

Read More

YANGA YAINGIA MKATABA NA KAMPUNI YA KILINET NA N-CARDS

KLABU ya Yanga leo Januari 5  imeingia makubaliano na Kampuni za KILINET na N-Cards kwa ajili ya kutengeneza kadi za kidigitali zitazokuwa zinatumiwa na Wanachama wa timu hiyo. Hiyo ni sehemu ya hatua za awali kwenye mfumo mpya wa uendeshaji ambapo kadi moja itauzwa shilingi 29,000. Kaimu Mtendaji Mkuu wa Yanga, Senzo Mbatha amesema kuwa…

Read More

KABWILI AVUNJA UKIMYA YANGA

PAMOJA na kuwepo na tetesi nyingi za kuachwa pale Yanga, kipa chaguo la pili Ramadhani Kabwili, amevunja ukimya kwa kusema yeye bado ni mali ya Wanajangwani hao na kwamba ameomba tu mapumziko kwa muda kisha atarudi kukiwasha kikosini hapo. Kabwili aliyejiunga na Yanga mwanzoni mwa msimu wa 2016/17 akiwa kinda kabla ya kupandishwa kikosi cha…

Read More

AUCHO, MAYELE KUWAKOSA TAIFA JANG’OMBE MAPINZUZI LEO

MASTAA wa Yanga, Khalidi Aucho na Fiston Mayele, hawatakuwa sehemu ya mchezo wa leo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Taifa Jang’ombe na kwamba wataunguruma dhidi ya KMKM kesho kutwa Ijumaa. Aucho ameshindwa kusafiri na kikosi hicho kufuatia kuomba ruhusa ya kwenda kwao Uganda kwa ajili ya kuiona familia yake, huku Fiston Mayele naye yupo…

Read More

SIMBA WATAMBA KUIVUA UBINGWA YANGA MAPINDUZI

KUELEKEA mashindano ya Kombe la Mapinduzi yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi rasmi kesho Jumanne, uongozi wa Simba umetamba kuwa kikosi chao kiko tayari kwa ajili ya mashindano hayo na malengo yao makubwa ni kuwavua ubingwa watani zao wa jadi Yanga. Michuano ya Kombe la Mapinduzi ilianza rasmi jana Jumapili kwa mchezo mmoja kati ya Namungo dhidi…

Read More

AZAM FC YASHINDA KOMBE LA MAPINDUZI

KIUNGO mpya wa Azam FC Ibrahim Ajibu ameanza kazi na uzi huo katika mashindano ya Kombe la Mapinduzi na alishuhudia timu hiyo ikiibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Meli 4 City. Kipindi cha kwanza timu zote mbili zilishuhudia bao moja pekee lililofungwa na Chilunda dakika ya 13 na lilidumu mpaka dakika ya 45….

Read More