#LIVE: YANGA SC WANATOA TAMKO MAALUM, MANARA ANAZUNGUMZA MUDA HUU..

UONGOZI wa klabu ya Yanga, leo Januari 05, 2022, wamezungumza na wanahabari kuhusiana na uamuzi wao wa kuunganisha wanawachama na klabu yao kidigitali.