UONGOZI wa klabu ya Yanga, leo Januari 05, 2022, wamezungumza na wanahabari kuhusiana na uamuzi wao wa kuunganisha wanawachama na klabu yao kidigitali.
#LIVE: YANGA SC WANATOA TAMKO MAALUM, MANARA ANAZUNGUMZA MUDA HUU..
![](https://salehjembe.co.tz/wp-content/uploads/2022/01/yanga.png)
UONGOZI wa klabu ya Yanga, leo Januari 05, 2022, wamezungumza na wanahabari kuhusiana na uamuzi wao wa kuunganisha wanawachama na klabu yao kidigitali.