>

CONTE KUSAINI DILI JIPYA LEO TOTTENHAM

ANTONIO Conte anatarajiwa kusaini dili jipya leo Jumanne ili kuweza kuwa Kocha Mkuu wa Tottenham. Conte anakwenda kuchukua mikoba ya Nuno Espirito ambaye alichimbishwa mazima jana Novemba Mosi. Espirito alifungashiwa virago kutokana na mwendo mbovu wa timu hiyo ambapo kwenye mechi zake sita za Ligi Kuu England alipoteza mechi nne. Kichapo cha mabao 3-0 dhidi…

Read More

LWANDAMINA BADO YUPOYUPO SANA AZAM

LICHA ya kuwa na matokeo mabaya msimu huu Kocha Mkuu wa Azam FC, George Lwandamina ameongezewa mkataba wa mwaka mmoja wa kuzidi kukinoa kikosi hicho. Lwandamina alijiunga na Azam msimu uliopita baada ya kuondoka kwa aliyekuwa kocha mkuu Mromania, Aristica Cioaba.   Mpaka sasa Azam imecheza mechi nne za ligi huku akishinda moja dhidi ya…

Read More

NYOTA WATATU NDO IMEISHA HIVYO AZAM FC

IMEFAHAMIKA kuwa Azam FC huenda ikaachana na wachezaji wake watatu Suire Boy, Aggrey Morris na Mudathiri Yahaya katika usajili wa dirisha dogo msimu huu.   Taarifa ya Azam iliyotolewa hivi karibuni ilisema kuwa wachezaji hao wameonesha utovu wa nidhamu kwa Meneja wa timu, Jackson Kakolaki, wachezaji wenzao, benchi la ufundi na viongozi kwenye vyumba vya…

Read More

MASTAA YANGA WAOGA MINOTI,ISHU YA MGOMO IPO HIVI

 BAADA ya Alhamisi ya Oktoba 28 kusambaa kwa taarifa kwamba mastaa wa Yanga wamepanga kufanya mgomo kushinikiza malipo yao ya bonasi, hatimaye mambo yamewekwa sawana sasa ni full kicheko kwao. Ishu ipo hivi; Alhamisi ya Oktoba 28, 2021, habari kubwa ilisomeka; “Kisa bonasi…Mastaa Yanga watangaza mgomo ilikuwa ni ndani ya Spoti Xtra Alhamisi kisha baadaye stori hiyo ikasambaa kwenye mitandao ya…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO

NOVEMBA 2,2021 Ligi Kuu Tanzania Bara inazidi kushika kasi ambapo ushindani umekuwa mkubwa tofauti na msimu uliopita. Leo viwanja viwili vitakuwa na burudani tosha kwa mashabiki wao huku wachezaji wakionyesha kile ambacho wamefundishwa na makocha wao katika muda wa maandalizi. Ni mchezo kati ya Yanga iliyo nafasi ya kwanza na pointi 12 kwenye msimamo wa…

Read More

ORODHA YA WANAOWANIA TUZO ZA SIMBA

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara leo Novemba Mosi,2021 wameachia orodha ya wachezaji wao ambao wanawania tuzo ya mchezaji bora. Ni Mchezaji Bora wa Mashabiki ambaye anasakwa kwa mwezi Oktoba  na tuzo hiyo inadhaminiwa na Emirate Aluminium ACP. Wanaowania tuzo hiyo kubwa kutoka kwa mashabiki ambao watapigiwa kura ni pamoja na kiungo wa kazi…

Read More

HAJI MANARA AWAIBUA WAZAWA WA KAZI CHAFU

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapo wazawa wengi ambao wanafanya vizuri ndani ya kikosi cha Yanga ikiwa ni pamoja na Dickson Job, Kibwana Shomari pamoja na Feisal Salum. Nyota hao kwa sasa wana uhakika wa namba kikosi cha kwanza ambacho kinanolewa na Kocha Mkuu, Nasredddine Nabi  huku nahodha akiwa ni mzawa pia…

Read More

KUMBE ILIKUWA NI GHAFLA TU KUMFUTA KAZI NUNO

IMERIPOTIWA kuwa ilikuwa ni ghafla kwa mabosi wa Klabu ya Tootenham kumfuta kazi kocha wao Nuno Espirito ambaye ametangazwa kuwa kwa sasa hatakuwa kwenye majukumu yake ya kazi. Ikumbukwe kwamba Nuno alipokea mikoba ya Jose Mourinho ambbaye alifutwa kazi hapo Aprili 19,2021 kutokana na mwendo mbovu wa timu hiyo. Nuno alichaguliwa kuwa kocha Juni 30,2021…

Read More

BRENDAN HAFIKIRII KUIFUNDISHA MANCHESTER UNITED

BOSI wa Leicester City, Brendan Rodgers amesisitiza kuwa hafikirii kwenda kuifundisha Manchester United. Rodgers amesisitiza kuwa malengo yake ni kuweza kuona timu yake ya sasa inatwaa mataji zaidi. Kocha huyo amekuwa akitajwa kwenda kuinoa Manchester United ambayo inaweza kumtimua Ole Gunnar Solkjaer. Bosi huyo amesema:”Malengo yangu siku zote ni kuona Leicester inaendelea kuwa bora,kutwaa mataji…

Read More

SPORTPESA NGUZO YA MWENDO WA WAKONGWE YANGA

  NDANI ya miaka minne tu, kampuni maarufu zaidi nchini ya michezo ya kubahatisha ya SportPesa ndio inayoshikilia rekodi ya kuwa kampuni iliyoweka fedha nyingi zaidi za udhamini katika klabu kongwe zaidi nchini ya Yanga na ndio mabingwa wa kihistoria.   Yanga ndio klabu kongwe na ambayo imechukua makombe mengi zaidi ya Ligi Kuu Bara…

Read More

LIVERPOOL YAMPA KOCHA WAKE HASIRA

KOCHA Mkuu wa Liverpool, Jurgen Klopp amegeuka mbogo kwa wachezaji wake kwa kuwaeleza kuwa walicheza chini ya kiwango kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu England na kuwafanya watoshane nguvu na wapinzani wao Brighton.   Ilikuwa ni Oktoba 30 ambapo Liverpool walikuwa wanapewa nafasi ya kushinda kwa kuwa walikuwa wametoka kuwanyoosha mabao matano Manchester United ila…

Read More

MSIMAMO WA LIGI KUU BARA HUU HAPA

LIGI Kuu Tanzania Bara maarufu kama NBC Premier Ligi inazidi kuchanja mbunga ambapo tayari kuna timu zimeanza kuonja ladha ya kuwa nafasi ya kwanza pamoja na ile ladha ya kuwa nafasi ya mwisho ndani ya msimu wa 2021/22 ambao unakwenda kwa kasi.   Huu hapa msimamo wa Ligi Kuu Bara, Yanga wakiwa ni namba moja…

Read More