
RASMI,KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA NAMUNGO
SAA 10;00 jioni kikosi cha Yanga kitakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Namungo FC mchezo utakaochezwa Uwanja wa Ilulu, Lindi. Hiki hapa kikosi rasmi ambacho kinatarajiwa kuanza leo mbele ya Namungo kusaka pointi tatu muhimu:- Diarra Djidgui Djuma Shaban Kibwana Shomari Dickson Job Bakari Mwamnyeto Yannick Bangala Tonombe Mukoko Jesus Moloko…