NAMUNGO HAWANA DOGO,WATUMA UJUMBE YANGA

UONGOZI wa Namungo umebainisha kwamba malengo makubwa ambayo wanayo ni kuweza kushinda mechi zao zote zilizopo mbele yao ikiwa ni pamoja na ule dhidi ya Yanga. Leo Novemba 20, Namungo FC itawakaribisha Yanga kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ilulu majira ya saa 10:00 jioni. Kwa mujibu wa Mtendaji Mkuu wa Namungo FC,…

Read More

MWENDO ALIOANZA NAO PABLO BONGO HUU HAPA

PABLO Franco Kocha Mkuu wa Simba ameanza kwa kushuhudia timu yake ikisepa na ushindi mbele ya Ruvu Shooting kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Ukiwa ni mchezo wake wa kwanza baada ya kuchukua mikoba ya Didier Gomes alishuhudia  ubao ukisoma Ruvu Shooting 1-3 Simba ambapo mbinu yake ya kuwatumia washambuliaji wawili Kibu Dennis na…

Read More

NAMUNGO V YANGA, YUPI ATAVUNJA NGOME LEO?

  ILE ngome ambayo ilikuwa ngumu kuvunjika muda wote sasa wakati wake umefika tena kuanza kuvunjwa upya ambapo leo Uwanja wa Ilulu, wanaume watakuwa kazini. Baada ya kushindwa kufanikiwa kwa muda wa misimu miwili walipokutana wanakutana kwa mara nyingine tena kuendelea pale walipoishia ili kuweza kuona baada ya dakika 90 kitatokea kitu gani. Utakuwa ni…

Read More

YANGA YAZIPIGIA HESABU POINTI ZA NAMUNGO

UONGOZI wa Yanga umebainisha kwamba unahitaji pointi tatu za Namungo kwenye mchezo wa leo Novemba 20 licha ya kwamba utakuwa ni mchezo mgumu. Ikiwa ni namba moja kwenye msimamo na pointi zake 15 baada ya kucheza mechi tano ina kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Namungo FC. Ofisa Habari wa Yanga, Haji Manara amesema…

Read More

MASAU BWIRE YUPO BIZE NA MAJUKUMU YA TAIFA

BAADA ya dakika 90 kukamilika kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Ruvu Shooting v Simba uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting alikuwa kwenye jukumu zito la kutimiza majukumu ya taifa.   Ubao ulisoma Ruvu Shooting 1-3 Simba na kufanya mabingwa hao watetezi kusepa na pointi tatu jumlajumla. Mabao ya…

Read More

LINGARD ANATAKA KUSEPA UNITED

MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Jesse Lingard mwenye miaka 28 anataka kuondoka ndani ya kikosi hicho kwenye kipindi cha usajili wa Januari,mwakani. Msimu uliopita nyota huyo alikuwa kwa mkopo ndani ya kikosi cha West Ham United na aliweza kufanya vizuri lakini aliporejea ndani ya Manchester United hana nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza. Mshambuliaji huyo ameweka…

Read More

AZAM FC BILA DUBE MAJANGA

KWENYE safu ya ushambuliaji Azam FC kwa sasa inapata tabu kwelikweli bila ya uwepo wa Prince Dube ambaye anatibu majeraha yake kwa kuwa hakuna mchezaji ambaye ameweza kufikia rekodi ya mabao ambayo aliweza kufunga baada ya kucheza mechi tano. Kwenye mechi tano msimu wake wa kwanza wa 2020/21 nyota huyo alifunga jumla ya mabao sita…

Read More

KMC V AZAM FC YAMEFUNGWA MABAO 13

JUMLA ya mabao 13 yamefungwa kwenye mechi sita ambazo wamekutana wababe wawili KMC na Azam FC. Klabu ya Azam FC wao wametupia mabao nane, huku KMC ikifunga mabao matano kwenye mechi za ligi. Azam FC inayotumia Uwanja wa Azam Complex kwa mechi zake za nyumbani ina kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya KMC, Novemba…

Read More

SIMBA YAICHAPA MABAO 3-1 RUVU SHOOTING

KIKOSI cha Simba leo Novemba 19 kimeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Ruvu Shooting kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Kwenye mchezo wa leo ambao ulikuwa umegawanywa kwa vipindi viwili ofauti Simba ilikuwa bora kipindi cha kwanza na iliweza kufunga mabao yote matatu kupitia kwa Meddie Kagere dakika…

Read More

KHALID AUCHO KUIKOSA NAMUNGO KESHO

KIUNGO wa Yanga, Khalid Aucho ni miongoni mwa wachezaji ambao wataukosa mchezo wa kesho dhidi ya Namungo FC. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ina kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Namungo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ilulu, Lindi. Sababu kubwa ya nyotahuyo kukosa mchezo huo ni majeraha ambayo aliyapata kwenye mguu wa kulia…

Read More

GADIEL MICHAEL:TUNAWAHESHIMU RUVU SHOOTING,TUPO TAYARI

BEKI wa Simba, Gadiel Michael amesema kuwa kuelekea mchezo wa leo wa Ligi Kuu Bara dhidiya Ruvu Shooting kutakuwa na mabadiliko kwa kuwa wachezaji wapo tayari licha ya ushindani kuwa mkubwa. Gadiel bado hajacheza ndani ya msimu wa 2021/22 kwa sasa katika mechi tano na nafas yake amekuwa akianza nyota Mohamed Hussein ambaye ni chaguo…

Read More

POLISI TANZANIA V COASTAL UNION NI LEO

MKALI wa kucheka na nyavu ndani ya Ligi Kuu Bara,Vitalis Mayanga akiwa na mabao manne ametuma ujumbe kwa Coastal Union kuwa wanahitaji pointi tatu. Timu hizo zinatarajiwa kukutana leo Novemba 19 katika Uwanja wa Ushirika,Moshi mchezo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Mayanga amesema kuwa mechi zao zote ambazo watacheza wanahitaji ushindi ili waweze kufikia malengo…

Read More

DIARRA KUMPA CHANGAMOTO AISHI MANULA

MILTON Nienov aliyekuwa kocha wa makipa ndani ya Simba ameweka wazi kuwa kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula atapata changamoto kubwa kutoka kwa kipa wa Yanga,Diarra Djigui. Nienov kwa sasa ameshachimbishwa ndani ya Simba ilikuwa ni Septemba 26 kwa kile kilichoelezwa ni makubaliano ya pande zote mbili. Nienov aliweka wazi kwamba anatambua ubora wa…

Read More

EPL, SERIE A, BUNDESLIGA NA LA LIGA KUENDELEA WIKIENDI HII

Baadhi ya mataifa yameshajihakikishia kucheza Kombe la Dunia mwakani. Wengine, wataendelea kujitafuta mwezi Machi mwakani. Ligi Soka barani Ulaya kuendelea wikiendi hii, karata ya ushindi inapatikana Meridianbet! Mkeka wako wikiendi hii, upambe kwa namna hii; Augsburg kuwaalika Bayern Munich katika muendelezo wa Bundesliga Ijumaa hii. Huu ni mchezo ambao unazalisha magoli ya kutosha. Lolote linaweza…

Read More