POULSEN AKUBALI UWEZO WA WACHEZAJI WAKE

KIM Poulsen, Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa uwezo wa wachezaji ambao wapo kwenye kikosi hicho ni mkubwa na anaamini kwamba watampa matokeo chanya kwenye mechi za kimataifa. Akizungumza na Championi Jumamosi, Poulsen alisema kuwa kila mchezaji ambaye ameuita kikosini alipata muda wa kumfuatilia na kuona uwezo wake na…

Read More

SALAH NI BORA DUNIANI

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Liverpool, Fernando Torres amesema kuwa nyota Mohamed Salah ambaye ni mshambuliaj ndiye mchezaji bora kwa sasa duniani.   Salah anawania tuzo ya mchezaji bora wa mwaka ya dunia ambayo itatolewa mwezi ujao na Shirikisho la Soka la Kimataifa,(Fifa) na watu wengi wamekuwa wakiamini kuwa anastahili kutwaa tuzo hiyo. Torres aliweza kuutazama…

Read More

ISHU YA CHAMA KURUDI BONGO,YANGA,SIMBA ZATAJWA

KIUNGO bora wa zamani wa Simba, Clatous Chama anatajwa kurudi tena Bongo huku timu mbili za Kariakoo, Simba na Yanga zikitajwa kuwania saini yake. Chama msimu wa 2020/21 alikuwa kwenye kikosi bora cha msimu na pia alitwaa tuzo ya kiungo bora ikumbukwe pia kwa msimu wa 2019/20 alitwaa tuzo ya kiungo bora pamoja na mchezaji…

Read More

GUARDIOLA AKUBALI MUZIKI WA UNITED

KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola amekubali muziki wa wapinzani wake Manchester United kwa kuweka wazi kuwa ina wachezaji wazuri. Majira ya saa 9:30 muda wa kujipatia msosi Manchester United itakuwa ikimenyana na Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu England utakaopigwa Uwanja wa Old Trafford. Unatajwa kuwa moja ya mchezo unaosubiriwa kwa shauku kubwa…

Read More

BAO LA MK 14 LAMFANYA KOCHA AZUNGUMZE KIZUNGU

BAO la mshambuliaji wa Simba Meddie Kagere lililowapoteza Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara lilimfanya Kocha Mkuu wa Namungo FC, Hemed Morocco kuzungumza kizungu kuonesha msisitizo kwamba waliumia kupoteza mchezo huo. Mara baada ya mchezo kukamilika na ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 1-0 Namungo, wachezaji wote wa Namungo juzi walianguka chini…

Read More

XAVI KOCHA MPYA BARCELONA

XAVI Hernandez atakuja kuwa kocha mpya wa Barcelona baada ya mabosi wake Al Sadd kuthibitisha kuhusu hilo. Taarifa rasmi ambayo imetolewa na Al Sadd imeeleza kuwa wamefikia makubaliano mazuri na Xavi kuhusu suala la malipo pamoja na kumuacha aende kwa amani kuanza changamoto mpya. Xavi alikuwa anahusishwa kurejea kwa mara nyingine ndani ya Nou Camp…

Read More

YANGA WAMPA TANO NABI

NAHODHA wa Yanga, Bakari Mwamnyeto, amefunguka kuwa kwa sasa nyota wa kikosi hicho wanafurahia zaidi mfumo wa soka la pasi nyingi, ambao unafundishwa na kocha mkuu Nasrredine Nabi, kulinganisha na utamaduni wao wa awali wa kutumia mipira mirefu.   Tangu msimu huu umeanza kocha Nabi anaonekana kufanikiwa kwa kiasi kikubwa kuibadilisha Yanga ambayo sasa inacheza mpira wa pasi nyingi, tofauti na hapo awali ambapo walikuwa wakitumia mipira mirefu.  …

Read More

KOCHA MPYA SIMBA ISHU YAKE IMEFIKIA HAPA

WAKATI Ligi Kuu Bara ikiwa imesimama kwa takribani wiki mbili, Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, imepanga kutumia muda huo kushusha kocha mpya wa kuinoa timu hiyo ambayo pia inajiandaa na mchezo wa Kombe laShirikisho Afrika dhidi ya Red Arrows ya Zambia.   Novemba 28, mwaka huu, Simba itavaana na Red Arrows kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar, ukiwa mchezo wa kwanza wa mtoano kusaka nafasi ya kwenda makundi ya michuanohiyo, kabla…

Read More

HASSAN DILUNGA APEWA TUZO YAKE HUKO MSIMBAZI

HASSAN Dilunga kiungo wa wa Wekundu wa Msimbazi, Simba amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mashabiki wa mwezi Oktoba inayodhaminiwa na Emirates Aluminium ACP kwa kuwashinda Sadio Kanoute na Rally Bwalya aliokuwa nao fainali.   Kwa mwezi Oktoba, Dilunga amekuwa ni chaguo la kwanza kwenye mechi za Ligi Kuu Bara na alianza pia kwenye mchezo walionyooshwa…

Read More

KIKOSI BORA CHA HAJI MANARA,SIMBA ‘OUT’

OFISA wa Yanga, Haji Manara amechagua kikosi bora kwa msimu wa 2021/22 baada ya timu zote kucheza jumla ya mechi tano. Uzuri ni kwamba haya ni maoni ya Manara yeye mwenyewe lakini ajabu ni kwamba kwenye kikosi hicho hakuna mchezaji mmoja kutoka kikosi cha Simba ambacho msimu uliopita wa 2020/21 alikuwa anataja kuwa ni kikosi…

Read More

DAKIKA 450 ZA JASHO JINGI SIMBA

IKIWA kwa sasa ipo chini ya Kaimu Kocha Mkuu, Hitimana Thiery na msaidizi wake Seleman Matola timu ya Simba imekamilisha dakika 450 za jasho jingi uwanjani huku ikiwa kwenye mwendo wa kushinda bao mojamoja kwenye mechi zake ilizoshinda. Simba ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara na msimu wa 2021/22 wanapata upinzani wa maana kutoka…

Read More

VARANE KUZIKOSA MAN CITY, CHELSEA, ARSENAL

Beki wa kati Raphael Varane anatarajiwa kuukosa mchezo wa Manchester derby kwenye Uwanja wa Old Trafford, wikiendi hii kutokana na kuwa majeruhi. Varane alipata maumivu ya nyama za paja alipokuwa akiitumikia Manchester United ikicheza dhidi ya Atalanta katika Champions League, Jumanne ya wiki hii na imeelezwa kuwa atakuwa nje kwa mwezi mmoja. Hiyo inamaanisha Varate…

Read More

WASHINDI WA BONUS WA JACKPOT YA SPORTPESA HAWA HAPA

ZAWADI zimeendelea kutolewa kwa washindi wa Jacpot bonus ya SportPesa wiki ambapo washindi wawili wametangazwa kusepa na mamilioni hayo baada ya kubashiri vizuri. Ni Mjuane Ally Mkumba mkazi wa Dar pamoja na Josep Mustaoha Joseph naye pia kutoka Dar. Mshindi wa Jackpot bonus Joseph Mustaoha Joseph  kutoka Tegeta, Dar es Salaam akishikilia mfano wa hundi…

Read More

ISHU YA MAKAMBO KUSUGUA BENCHI YAMEIBUKA HAYA

BAADA ya Mshambuliaji wa Yanga, Heritier Makambo kushindwa kuanza katika mchezo hata mmoja kikosini hapo msimu huu, kocha wa timu hiyo, Nasreddine Nabi ameweka wazi sababu za nyota huyo kushindwa kupenya kikosi cha kwanza. Makambo tangu atue Yanga msimu huu, ameshindwa kupenya katika kikosi cha kwanza katika michezo mitano ya ligi kuu, huku akimuacha Fiston Mayele akitamba. Akizungumza na Spoti Xtra, Kocha Nabi alisema sababu kubwa ya Makambo kushindwa kucheza ni kutokana…

Read More

LEWANDOWSKI WA ACHA TU HUKO UEFA

NOVEMBA 2,2021, Robert Lewandowski aliweka rekodi ya kuwa miongoni mwa wachezaji waliofunga na kutoa pasi ya bao pamoja na kukosa penalti kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.   Mara ya mwisho ilikuwa ni Novemba 2013 kufanyika jambo hilo alikuwa ni Diego Costa alipofanya hivyo katika Ligi ya Mabingwa Ulaya. Lewandowski alifanya hivyo wakati timu…

Read More