>

PABLO:TUNAKWENDA KUSAKA POINTI TATU ZA RUVU SHOOTING

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wanakwenda Mwanza wakiwa wamejiandaa kushinda pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Leo kikosi cha Simba kimekwea pipa na kuibuka Mwanza kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo huo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa…

Read More

GEITA GOLD KITUO KINACHOFUATA KAITABA

BAADA ya Klabu ya Geita Gold kupoteza katika mchezo wake uliopita kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Azam FC, Novemba 20 wanakibarua kingine cha kusaka pointi tatu. Kwenye mchezo huo Khoeminy Aboubakhari kipa wa Geita Gold aliweza kuokoa penalti ya matajiri wa Dar pale Azam Complex sasa kituo kinachofuata ni Kaitaba, Bukoba. Geita Gold haijawa…

Read More

NCHI 10 ZILIZOFUZU MTOANO KOMBE LA DUNIA AFRIKA

NCHI 10 za Afrika zimefuzu mechi za mtoano kuelekea katika Mashindano ya Kombe la Dunia yatakayofanyika Qatar mwakani kuanzia Novemba 21 mpaka Desemba 18, 2022, yakishirikisha mataifa 32 . Qatar, itashiriki mashindano haya kwa mara ya kwanza kabisa, na imefuzu kama mwenyeji, ikitarajiwa kuwa moja ya timu ambayo inaweza kuwashangaza wengi kutokana na suala la…

Read More

YANGA WAANDAA JAMBO KUBWA KWENYE USAJILI

KATIKA kuelekea usajili wa dirisha la Januari, mwaka huu wadhamini wa Yanga, Kampuni ya GSM, wamewahakikishia mashabiki wa timu hiyo kufanya usajili mkubwa na wa kishindo.   Yanga imeonekana kudhamiria msimu huu kutwaa mataji yote wanayoshindania ikiwemo Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC), ambayo yote yanatetewa na Simba.   Timu…

Read More

WACHEZAJI WA AZAM FC WAREJEA KAMBINI TAYARI KWA KAZI

WACHEZAJI wa Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina  ambao walikuwa kwenye timu ya taifa ya Tanzania,Taifa Stars tayari wamejiunga na wengine kambini.Ilikuwa ni jana Novemba 16, siku ya Jumanne walianza mazoezi kuivutia kasi KMC kwenye mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara. Nyota hao ni pamoja na Idd Seleman, Edward Manyama na Lusajo…

Read More

SIMBA KUIBUKIA MWANZA LEO KUWAFUATA RUVU SHOOTING

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu,  Pablo Franco leo Novemba 17 kinatarajiwa kukwea pupa kuelekea Mwanza kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Ijumaa ya Novemba 19 saa 10:00 jioni Uwanja wa CCM Kirumba. Tayari Franco raia wa Hispania aliyetambulishwa…

Read More

YANGA KUWAFUATA NAMUNGO LEO

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara leo Jumatano, Novemba 17 wanatarajia kusepa Dar kuelekea Lindi kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Vinara hao wa ligi wakiwa nafasi ya kwanza na pointi 15 Novemba 20 watatatupa kete yao ya sita kwa kusaka ushindi mbele ya Namungo itakuwa Uwanja wa…

Read More

SIMULIZI YA ALIYEKUWA NA TATIZO LA KIAFYA

SIMULIZI ya mzazi aliyekuwa na tatizo la afya baadaye akarejea kwenye ubora Ama kwa hakika kila mtu hufurahia kuona wapendwa wao wakiishi kwa amani na wenye afya kila siku. Hali ilikuwa tofauti kwetu kwani mama mzazi alikuwa katika hali mbaya ya kifafa ambayo kila mara ilitukosesha usingizi kama wanawe. Kwa jina ni Kamau kutoka Nyamira….

Read More

SALAH KUIBUKIA LA LIGA

KLABU ya Barcelona ya nchini Hispania inayoshiriki La Liga imeonesha nia ya kutaka saini ya Mohamed Salah raia wa Misri anayekipiga katika Klabu ya Liverpool inayoshiriki Ligi Kuu England . Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na vyombo mbalimbali vya habari nchini Hispania, vimesema kocha wa timu hiyo Xavi ameweka wazi nia yake ya kutaka kumsajili…

Read More

PABLO AGOMEA BUTUABUTUA NDANI YA SIMBA

WACHEZAJI wa Simba wameketishwa kikao na Kocha Mkuu, Pablo Franco, raia wa Ufaransa na kuambiwa kwamba wanapaswa kuonyesha uwezo wao wote walionao huku wakipigwa marufukuku mipira ya butuabutua. Kwenye mazoezi ambayo waliyafanya jana Uwanja wa Boko Veteran Pablo alionekana kuwa mkali kwa wachezaji watakaobutua huku akiwataka wacheze soka la utulivu. Mabingwa hao watetezi wana kibarua…

Read More

NAHODHA WA YANGA ACHEKELEA KURUDI BONGO

NAHODHA wa zamani wa Yanga, raia wa DR Congo, Papy Tshishimbi, amefunguka kuwa anafurahi kurudi Tanzania na kucheza soka kama ilivyokuwa awali.   Papy alisema Tanzania ni nchi ambayo aliishi kwa upendo, furaha na amani na amekuwa na marafiki wengi ambao alikutana nao akiwa anacheza Yanga. Tshishimbi amerejea tena Tanzania na kusaini mkataba wa mwaka…

Read More

MWENDO WA USHINDI TU YANGA

KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Koha Mkuu, Nasreddine Nabi kimeweza kuweka rekodi matata ya kucheza mechi 8 ambazo ni dakika 720 bila kupoteza huku kikifunga jumla ya mabao 13 na kufungwa mabao mawili. Nyota wake wawili wote kibindoni wametupia mabao matatumatatu kwenye mechi walizocheza ambao ni Feisal Salum na Jesus Moloko huku baba lao akiwa…

Read More