
MATAIFA KUZISAKA TIKETI ZA KUCHEZA KOMBE LA DUNIA 2022
Timu za Taifa kuendelea na michezo ya kufuzu mashindano ya Kombe la Dunia 2022. Mashirikisho ya soka kwenye mabara yote Duniani kushuhudia timu zao viwanjani. Nani ni nani? Karata yako ya ushindi unaiweka kwa nani kati ya hawa; Kupitia shirikisho la soka barani Afrika (CAF), Tanzania kupambana na DR Congo alhamisi hii. Taifa Stars…