
SIMBA V RED ARROWS YAPELEKA MBELE RATIBA CHAMPIONSHIP
UONGOZI wa Klabu ya DTB inayoshiriki Championship umeeleza kuwa mchezo wao uliotarajiwa kuchezwa Novemba 28 sasa umesogezwa mbele itakuwa ni Novemba 29. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa DTB, Juma Ayo amesema kuwa mchezo huo umepelekwa mbele kupisha mchezo wa kimataifa kati ya Simba dhidi ya Red Arrows utakaochezwa Uwanja wa Mkapa ambao ni…