SIMULIZI YA MFANYABIASHARA AMBAYE ALITOROKWA NA MARAFIKI ZAKE

    SIMULIZI ya mfanyabiashara ambaye alitorokwa na marafiki zake

    Niliishi mjini Namanga ambapo nilikuwa na biashara mbalimbali za kuuza nguo kwenye mji huo uliokuwa kitovu kizuri cha biashara kwa kuwa ulipatikana mpakani.

    Nilikuwa mwana pekee katika familia yetu. Maisha yalikuwa mazuri kwani nilikuwa buheri wa afya, kijana mtanashati aliyekuwa
    miraba minne.

    Biashara ilinipeleka vizuri maana wateja walivutiwa sana na nguo nilizokuwa nikiziuza. Kila mtu mjini alinigundua kwa weledi wangu wa kuvutia wateja.

    Ama kwa hakika biashara ilkua ndio wito wangu. Baada ya miaka mitatu hivi nilianza kuumwa ugonjwa wa ajabu uliokuwa ukinifanya niwe naanguka.

    Siku moja nilipokuwa nawahudumia wateja wangu nilianguka chini kwa kishindo povu jeupe likatoka
    mdomoni huku nikitingishika.

    Wateja wangu walichanja mbuga kwa kile walichodhania kuwa nilikuwa nimeshikwa na kichaa. Jambo hili liliadhiri biashara yangu
    ambapo wateja wengi walisusia kuja dukani kwangu kununua bidhaa zangu kwani waliniita
    mwenda wazimu.

    Kadri muda ulivyokuwa ukisonga ndipo mambo yalivyokua yakizidi kuwa mabaya hata zaidi. Mke wangu ambaye tulikuwa tumekaa kwenye ndoa kwa muda wa mwaka mmoja hivi alinikimbia.

    Nilibaki kwenye upweke kwa kuwa hakuna aliyetaka kusogea karibu na mimi kwa kuwa wengi walisema nigewaambukiza ugonjwa huo.

    Marafiki pia walinitenga hali iliyoniongezea
    upweke hata zaidi. Kila mahali nilipotembea watu walinitenga huku wengine wakinisema hadharani kuwa nilikua na kichaa.

    Ilinibidi nifunge biashara yangu ya uuzaji nguo kwa sababu
    sikuwa na lingine la kufanya ila kubaki nyumbani kwani kila nilipoeenda kwenye biashara kifafa sikuweza kuwa sawa kiafya.

    Nilitembea katika hospitali kadhaa bila ya mafanikio. Jambo
    nililopata katika hospitali nilizotembea ni ushauri tu na dawa za kupunguza makali ya alama
    nilizokua nimepata baada ya kuanguka mara kadhaa.

    Wazazi wangu walinitenga huku wakikiri kuwa hakuna mtu yeyoye kwa familia ile alikuwa na tatizo ambalo nilikuwa nalo. Walitaka niweleze jinsi nilivyopata ugojwa ule.

    Sikuwa na yeyote ambaye ningekimbilia kwa usaidizi kwani ugojwa huo ulikua donda sugu lisilo tiba.Wakati mwingine nikiwa chumbani mwangu nilianguka tu kwenye.

    Niliangukia chakula nilichokuwa napika kwenye meko wakati mwingine. Siku moja ugonjwa huu ulinisukuma sana
    nikaagukia kwenye maji ambayo nilikuwa napasha moto kwenye stovu.

    Stovu ikanichoma kwenye kifua na kwenye uso. Hali ilikua ni hii kwa muda sasa. Wakati mmoja nilianza kujutia mbona
    nilizaliwa humu duniani na nikaanza kupanga mikakati ya kujitoa uhai kwa vile sikuwa na lingine la kufanya kwani ugonjwa ulikuwa umenizidi kwa muda sasa.

    Siku moja nilipokuwa nimeshika kamba chumbani mwangu, mlango ulibishwa kwa kishido. Sikuufungua kwa vile nilikua katika harakati za kusema maombi yangu ya mwisho.

    Baada ya muda mfupi mlango ule ulivujwa. Alikua rafiki yangu Jeff
    aliyekuwa amefika kunijulia hali. Alinelezea kuwa madaktari wa Kiwanga wangemaliza kabisa kuteseka
    kwangu.

    Asubuhi iliyofuatia mimi na Jeff tulikwenda hadi kwenye ofisi za madaktari wa Kiwanga ambapo nilihudumiwa bila kupoteza muda. Siku mbili baada ya kurejea nyumbani, niliweza kupona.

    Sikuanguka tena tangu siku ile. Nilifungua biashara yangu tena baadaye mke wangu akarudi. Mtu yeyote ambaye ana matatizo yanayotokana mbalimbali basi awasiliane na madaktari wa Kiwanga kwa kuwa madaktari hawa ni wakutegemewa na wepesi katika kusuluhishamambo mengi na kadhalika.

    Watembelee leo upate suluhu wavuti www.kiwangadoctors.com barua pepe
    kiwangadoctors@gmail.com pia waweza kupiga simu kwa nambari +254 769404965.

    Previous articleMASTAA WA ENGLAND WATAWALA TUZO ZA FIFA
    Next articleBENZEMA APIGWA FAINI NA HUKUMU