
POLISI TANZANIA V YANGA KUPIGWA SHEIKH AMRI ABEID
MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Polisi Tanzania dhidi ya Yanga unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Awali mchezo huo ulitarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ushirika, Moshi kutokana na uwanja huo kuwa na matumizi mengine sasa mchezo utachezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Haji Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa kwa namna…