
JIONEE HAPA MAKUNDI YA LIGI YA MABINGWA AFRIKA
LEO Desemba 28,2021 makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika na tayari timu ambazo zimetinga kwenye hatua ya makundi yapo namna hii:-
LEO Desemba 28,2021 makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika na tayari timu ambazo zimetinga kwenye hatua ya makundi yapo namna hii:-
LEO droo ya makundi imepangwa nchini Misri kikosi cha Simba kimepangwa kundi D ambalo litawafanya wakutane na Klabu ya RS Berkane ya nchini Morocco. Pia timu nyingine ni pamoja ASEC Mimosas, USGN ambazo zipo kundi moja katika Kombe la Shirikisho. Pia kundi C linatimu nne ambazo ni TP Mazembe,Cotton Sport FC. Al Masry, AS Otoho….
LEO Desemba 28 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea kuchanja mbunga ambapo timu nne zinatarajiwa kushuka uwanjani kusaka pointi tatu. Ni Coastal Union ikiwa imetoka kushinda mabao 3-2 dhidi ya Mbeya City itasaka pointi mbele ya Mtibwa Sugar iliyotoka kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Polisi Tanzania. Mchezo huo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa…
IMEFAHAMIKA kuwa Yanga imetumia kitita cha Sh 50Mil kwa ajili ya kununua mkataba wa kiungo mshambuliaji wa Biashara United, Denis Nkane huku ikimpa mshahara wa Sh mil 3 kwa mwezi. Nkane ni kati ya wachezaji waliokuwa wanawaniwa vikali na timu kongwe za Yanga na Simba ambayo ilizidiwa ujanja katika kuwania saini ya kiungo huyo kinda….
RALF Rangnick, Kocha Mkuu wa Manchester United amesema kuwa ni lazima viwango vya wachezaji wake kuongezeka katika mechi zijazo. Maneno hayo ameyasema baada ya ubao wa Uwanja wa St James Park kusoma Newcastle United 1-1 Manchester United. Ni Allan Saint-Maximin alipachika bao la kuongoza kwa timu ya Newcastle dk 7 likasawazishwa dakika ya 71 na…
MSANII na shabiki mkubwa wa Yanga, Mboto amesema kuwa wapinzani wao wanatamani kusema kwamba wamepata ushindi kwa shida mbele ya Biashara United lakini wanashindwa. Ushindi wa mabao 2-1 walioupata Yanga Desemba 26 mbele ya Biashara United unawafanya waweze kuwa na uhakika wa kumaliza 2021 wakiwa nafasi ya kwanza na pointi zao ni 26.
HABIB Kondo, Kocha Msaidizi wa Klabu ya KMC amesema kuwa wamesahau matokeo waliyoyapata mbele ya Simba sasa hesabu zao ni mchezo wao dhidi ya Ruvu Shooting. KMC ilipoteza kwa kufungwa mabao 4-1 dhidi ya Simba katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi na kuwafanya wayeyushe pointi tatu mazima. Leo KMC itakuwa na kazi ya…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne
HATMA ya kiungo mshambuliaji, Ousmane Sakho na beki Pascal Wawa na wenzao watatu wanaotajwa kuweza kuachwa kwenye usajili wa dirisha dogo itajulikana hivi karibuni kwa kuwa tayari Kocha Mkuu, Pablo Franco ameshakabidhi ripoti ya usajili. Nyota wengine wanaotajwa kuweza kuachwa katika timu hiyo ni kiungo, Duncan Nyoni, kipa Jeremiah Kisubi, na kiungo mkabaji Abdoulswamad…
BAADA ya kuvunja mkataba na mabosi wake wa zamani Yanga sasa Wazir Junior ni mali ya Dodoma Jiji. Dili lake ni la mwaka mmoja na miezi sita kwa ajili ya kuweza kuitumikia timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Mbwana Makata. Mshambuliaji huyo anatarajiwa kuanza kuonekana kwenye kikosi hicho kwa msimu huu wa 2021/22 ndani ya…
Bruce Kangwa, Nivere Tigere na Prince Dube wanatarajiwa kuukosa mchezo wa Ligi kuu Bara ujao dhidi ya Simba. Nyota hao wote watatu wameanza mazoezi katika timu ya taifa ya Zimbabwe. Simba na Azam FC zinatarajiwa kumenyana Januari Mosi 2022 kwenye mchezo wa kwanza wa ligi mwaka mpya. Nyota hao wote wapo nchini Zimbabwe tayari kwa…
KATIKA gazeti la Spoti Xtra Jumanne kuna ishu ya Yanga kupigwa na kitu kizito na Simba, usikose nakala yako kwa jero.
JONAS Mkude, kiungo wa kazi zote chafu ndani ya uwanja amefunga kibabe mwaka 2021 kwa kutoa pasi yake ya kwanza ambayo ilikuwa ni zawadi ya Krismasi kwa mashabiki wake. Kiungo huyo ambaye kwa sasa ni chaguo la kwanza chini ya Kocha Mkuu, Pablo Franco awali zama za Didier Gomes hakuwa na nafasi ya kucheza kutokana…
KLABU ya KMC kwa msimu wa 2021/22 kwenye mechi zao mbili za vigogo ndani ya ligi hawajawa na bahati ya kusepa na pointi tatu zaidi walikuwa wakiambulia maumivu ya kunyooshwa. Ikumbukwe kwamba KMC makazi yao yapo Dar lakini kwa mechi zilizokuwa zikiwakutanisha dhidi Yanga na Simba walikuwa wakizipeleka nje ya Dar. Ilikuwa ni ile dhidi…
2021 kwa sasa inahitaji kutuacha kwa kuwa tayari yale mapigano yote yamefanyika na wapo ambao wameambulia maumivu na wengine ilikuwa ni furaha kwao. Kwenye ulimwengu wa mpira tumeona namna ushindani ulivyokuwa kwa kila timu kupambana kusaka ushindi hilo ni jambo la msingi na ni muhimu kuendelea kufanyika. Pia kwenye Ligi ya Wanawake Tanzania nayo pia…
VIGOGO wa Kamati ya Usajili ya Simba, chini ya Mtendaji Mkuu (C.E.O.) wa timu hiyo, Barbara Gonzalez, wameona isiwe shida na kuchukua maamuzi ya kupanda ndege kumfuata kiungo wao mchezeshaji Mzambia Clatous Chama anayekipiga RS Berkane ya nchini Morocco. Kiungo huyo anawindwa vikali na Yanga katika usajili huu wa dirisha dogo lililofunguliwa Desemba16, mwaka huu kwa ajili ya kukiboresha kikosi hicho. Simba imepanga kukiboresha…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu