
KIUNGO DENNIS NKANE AWEKWA CHINI YA UANGALIZI
KIUNGO mshambuliaji mpya wa Yanga, Denis Nkane ni kama ameanza vibaya ndani ya timu hiyo baadaya mapema tu kupata uvimbe juu ya goti la kulia na kumfanya kuwa nje ya uwanja kwa muda, huku akiwekwa chini ya uangalizi maalum wa daktari. Nkane ni kati ya wachezaji wanne waliosajiliwa na kutambulishwa ndani ya Yanga katika usajili huu wa dirishadogo uliofunguliwa Desemba 16, 2021 na kutarajiwa kufungwa Jumamosi hii. Wachezaji…