
MASHINDANO YA AFCON, KANDANDA LA EPL NA SERIE A ZOTE KUTOA BURUDANI
Mashindano ya AFCON yanaendelea kushika kasi viwanjani. Kule barani Ulaya, EPL na Serie A nako mambo ni moto. Wikiendi hii, mchongo wa Odds Bora upo hivi; Ijumaa hii, Gabon watachuana na Ghana katika mchezo wa pili hatua ya makundi kunako AFCON. Huku Pierre-Emerick Aubameyang, kule ni Saidio Mane. Mdhamini shujaa wako kwa Odds ya…