MTIBWA SUGAR YASHINDA MARA YA KWANZA KWENYE LIGI,NDEMLA ATUPIA
KIKOSI cha Mtibwa Sugar kimeweza kuonja ladha ya ushindi kwa mara ya kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2021/22 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Biashara United. Mchezo huo wa nane kwa Mtibwa Sugar ulichezwa Uwanja wa Manungu, Desemba 12 na Mtibwa Sugar iliweza kushinda kupitia kwa Nzigamasabo Stive…