
SAIDO: SIKUTAKA KUONDOKA YANGA
MARA baada ya Yanga kutangaza kuachana rasmi na Said Ntibazonkiza ‘Saido’, mashabiki na wadau wengi wa soka walishitushwa na taarifa hiyo wengine hawakuamini kabisa kilichotokea. Hii inatokana na jinsi gani Saido alikuwa na mchongo mkubwa ndani ya timu hii ndio iliwafanya watu wawe wagumu kuamini. Mashabiki wa Yanga na wengine ambao sio wa timu hiyo…