
YUSUPH MHILU WA SIMBA ASAINI KAGERA SUGAR
MSHAMBULIAJI Yusuph Mhilu amepewa dili la mwaka mmoja kuweza kuitumikia Klabu ya Kagera Sugar. Ni mwaka mmoja ameweza kusaini kuitumikia timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Bara na inatumia Uwanja wa Kaitaba. Atakuwa hapo kwa mkopo kwa kuwa alisaini dili la miaka mitatu Simba na ametumia mwaka mmoja. Msimu uliopita wa 2021/22 hakuwa chaguo la kwanza…