BAO LA CHAMA LASEPA NA TUZO CAF

BAO la Clatous Chama alilofunga kwa mpira wa pigo huru dhidi ya Horoya AC limechaguliwa kuwa Bao Bora la Wiki la Ligi ya Mabingwa Afrika kwa michezo ya mzunguko wa tano. Katika mchezo huo uliochezwa Machi 18,2023 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 7-0 Horoya. Ilikuwa ni bao la mapema zaidi dakika ya 10…

Read More

AZAM FC KIBARUANI LEO

KIKOSI cha Azam FC chini ya Kocha Mkuu, Kali Ongala leo Machi 22 kinatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya JKU ya Zanzibar. Huu ni mchezo maalumu kwa ajili ya maandalizi ya mechi zijazo za mashindano ambapo Azam FC inacheza Ligi Kuu Bara pamoja na Kombe la Azam Sports Federation ikiwa imetinga hatua ya robo…

Read More

MAYELE ANATUPIA KIMATAIFA MUSONDA NAYE YUMO

KWENYE hatua ya makundi akiwa amecheza mechi tano Fiston Mayele kajaza kimiani mabao matatu akiwa amewatungua Real Bamako mabao mawili na US Monastir bao moja. Weka kando suala la uchoyo ambao ni asili ya washambuliaji wengi duniani Mayele ana pasi moja ya bao alitoa mchezo dhidi ya TP Mazembe Kwa mshikaji wake Tuisila Kisinda. Mkali…

Read More

FULL SHANGWE LINAHAMIA UGENINI KIMATAIFA

BAADA ya kutinga hatua ya robo fainali Yanga imeanza hesabu za mchezo wao ujao wa kimataifa dhidi ya TP Mazembe. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Aprili 2 DR Congo. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao ulisoma Yanga 3-1 TP Mazembe. Kwenye mchezo huo ni Kennedy Musonda, Mudhathir Yahya na Tuisila Kisinda ambaye…

Read More

CHAMA, NTIBANZOKIZA KWENYE MAJUKUMU MAPYA CAF

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa mitambo yao yote ya kazi katika kikosi hicho ina kazi maalumu ya kufanya kuelekea kwenye mchezo wao dhidi ya Raja Casablanca ugenini. Katika kundi C, Raja ni vinara wakiwa na pointi 13 kwenye mechi tano ambazo wamecheza hawajapoteza hata mmoja zaidi ya kuambulia sare moja na wameshinda nne. Katika…

Read More

KARIAKOO DABI MAKOSA YA KIBINADAMU YASIPEWE NAFASI

LIGI ya Wanawake Tanzania inazidi kuwa na ushindani mkubwa kutokana na kila timu kufanya kazi kubwa kusaka ushindi. Unaona kwamba msimu huu mpaka sasa bado hakuna timu ambayo imejihakikishia nafasi ya kutwaa ubingwa kutokana na mipango kazi ambayo inafanywa. Kwa sasa hilo ni jambo ambalo linapaswa kuendelea kupewa uangalizi na umakini hasa kwa kuboresha mazingira…

Read More

CHAMA KAMA CHAMA ANAKIMBIZA CAF

CLATOUS Chama mwamba wa Lusaka kwenye mashindano ya kimataifa anafanya vizuri ikiwa ni nembo kwa wazawa kushtuka na kuiga namna anavyofanikiwa. Anaingia kwenye orodha ya wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa CAF mchezo wa tano akiwa na mshikaji wake Sadio Kanoute hawa wote wapo ndani ya Simba na ikumbwe kuwa kwenye mechi ya nne alisepa…

Read More

BARCELONA WANAKIMBIZA LA LIGA

BARCELONA inaongoza La Liga ikiwa imekusanya pointi 68 baada ya kucheza mechi 26. Wanaofuata ni Real Madrid hawa nafasi ya pili na pointi zao kibindoni ni 56 wamecheza mechi 26. Mchezo wao walipokutana Uwanja wa Camp Nou Jumapili ya Machi 19, ubao ulisoma Barcelona 2-1 Real Madrid. Ni Sergi Roberto dakika ya 45 na Franck…

Read More

DABI YA WANAWAKE KARIAKOO NI MOTO

BAADA ya Desemba 22,2022 ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba Queens 1-1 Yanga Princes kesho kazi inatarajiwa kuwa nzito. Machi 22 kwa mara nyingine tena mchezo wa Dabi ya Kariakoo unatarajiwa kufanyika kwenye Uwanja wa Uhuru. Unakuwa ni mchezo wa mzunguko wa pili kwa watani hao kukutana ndani ya Ligi ya Wanawake Tanzania. Yanga…

Read More

NABI AFICHUA MAZITO KIPIGO CHA WAARABU

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, amefunguka kuwa, sababu kubwa iliyopelekea kufanikiwa kuibuka na ushindi dhidi ya Waarabu, US Monastir, ni kutokana na kupata muda wa kutosha kuwasoma wapinzani wake hao. Nabi ametoa kauli hiyo kufuatia Yanga kufuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0…

Read More

CHAMA, SAIDO WAPEWA KAZI MAALUMU SIMBA

UONGOZI wa Simba, umeweka wazi kuwa mitambo yao yote ya kazi katika kikosi hicho akiwemo Clatous Chama na Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ ina kazi maalumu ya kufanya kuelekea mchezo wa ugenini dhidi ya Raja Casablanca. Katika Kundi C la Ligi ya Mabingwa Afrika, Raja ni vinara wakiwa na pointi 13, kwenye mechi tano ambazo wamecheza hawajapoteza…

Read More