YANGA KUTUMIA MBINU ZA CAF KUWAKABILI KMC

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa maandalizi ambayo wanafanya kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika ni mwendelezo wa kurejea kwenye ligi kuendeleza kazi ya kutetea taji lao. Ipo wazi kuwa msimu wa 2022/23 Yanga ilitwaa taji la Ligi Kuu Bara huku watani zao wa jadi Simba wakigotea nafasi ya pili. Agosti 23 kikosi cha Yanga kinatarajiwa…

Read More

VIDEO: SIMBA YAFUNGUKIA ISHU YA PHIRI NA KUFUNGA

UONGOZI wa Simba umezungumzia juu ya nyota wao Moses Phiri kurejea katika kikosi na kufunga katika mchezo wa ligi. Phiri anatambua kwamba msimu wa 2022/23 ni Saido Ntianzokiza wanayecheza naye kikosi kimoja pamoja na Fiston Mayele aliyekuwa ndani ya Yanga walitwaa tuzo ya ufungaji bora. Nyota huyo wakati msimu unaanza alikuwa anakimbizana na Mayele wa…

Read More

LIGI IMEANZA NA UKIMYA, WAAMUZI MSINYONGE HADHARANI TENA

TUPO kwenye Ligi Kuu Bara, kipindi ambacho kilikuwa kinasubiriwa kwa hamu kubwa ikiwa ni msimu wa 2023/24. Mashabiki wa mpira nchini walisubiri kwa hamu kubwa kuona ligi inaanza tena. Hilo likatokea na tumefanikiwa kuona mambo yakienda vizuri sana. Ligi imekuwa na msisimko mkubwa licha ya kwamba, mabingwa watetezi Yanga wameshindwa kuanza mechi za ligi baada…

Read More

BEACH SOCCER NI MWENDO WA VICHAPO TU

KAZI imeanza kwenye Ligi ya Soka la Ufukweni 2023 ambapo timu zinaonyeshana uwezo kwenye mechi hizo ambazo zinachezwa Fukwe za Coco Beach na hakuna kiingilio. Agosti 19 Kundi A lilianza kuonyesha makeke kwa timu kusaka ushindi na ilikuwa ni mwendo wa kutembeza vichapo kwa wapinzani na hakuna sare iliyopatikana. Sayari Boys inaingia kwenye rekodi za…

Read More

AJIBU AFUNGA BAO LA AJABU KINOMANOMA

MSIMU wa 2023/24 bao la ajabu na nzuri limefungwa ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2023/24. Ipo wazi kwamba ni Yanga wanatetea taji la ubingwa baada ya kutwaa msimu wa 2022/23. Coastal Union ya Tanga ni mashuhuda wa Yanga wakitwaa ubingwa na msimu huu wameanza kwa kupoteza mchezo wa kwanza na ule wa…

Read More

YANGA YAFANYA KWELI KIMATAIFA

UKIWA ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Uwanja wa Azam Complex Yanga wamepeta kwa kufanya kweli katika mchezo wa awali uliochezwa Agosti 20. Kukiwa na mabadiliko kwenye kikosi cha Miguel Gamondi pamoja na aina ya uchezaji mchezo huo baada ya dakika 90 ubao umesoma ASAS Djibouti 0-2 Yanga. Ni Aziz Ki dakika ya 22…

Read More

DANADANA ZA LAVIA ZIMEGOTA MWISHO, LIVERPOOL NDO BASI

BAADA ya danadana za kutosha, hatimaye Chelsea imekamilisha usajili wa kiungo rasta, Romeo Lavia kutoka Southampton. Kiungo huyo kinda ambaye timu yake ya Southampton ilishuka daraja msimu uliopita alikuwa akitakiwa kwa ukaribu zaidi na Liverpool lakini akachagua Chelsea ambayo amejiunga nayo kwa ada ya pauni mil 53 kukiwa na nyongeza ya pauni mil 5. Lavia…

Read More

SIMBA YAKOMBA POINTI TATU MBELE YA WALIMA ZABABI

UBAO wa Uwanja wa Uhuru Agosti 20 baada ya dakika 90 za jasho wa wanaume 22 kusaka pointi tatu umesoma Simba 2-0 Dodoma Jiji. Mabao ya Simba ya pira Uturuki yamefungwa katika vipindi viwili tofauti, dakika ya 43 kupitia kwa Jean Baleke ambaye alikuwa wa kwanza kuwatungua wazee wa pira Zabibu. Kipindi cha pili ni…

Read More

NANI KUVUNJA REKODI YA MAYELE YANGA?

USIKU wa deni haukawii kukucha, ndivyo unavyoweza kusema kwani hatimaye kivumbi cha mashindano ya kimataifa yaani Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika kimeanza kutimua vumbi rasmi Ijumaa na kinatarajiwa kuendelea wikiendi hii. Kwa upande wa Tanzania Bara msimu huu tunatarajiwa kushirikisha timu nne katika mashindano hayo, ambapo timu za Yanga na Simba…

Read More

SIMBA 1-0 DODOMA JIJI, UWANJA WA UHURU WANAPATA TABU

LINAPIGWA pira Uturuki v Pira Zabibu Uwanja wa Uhuru huku ukuta wa Dodoma Jiji ukiwa imara kuwakabili wapinzani wao. Licha ya nguvu walizonazo Dodoma Jiji kuwazuia washambuliaji wa Simba wakiongozwa na Jean Baleke ni mashuhuda ubao ukisoma Simba 1-0 Dodoma Jiji. Jean Baleke ametupia bao dakika ya 43 kwenye Uwanja wa Uhuru ambao timu zote…

Read More

MASTAA SIMBA WATATU MAJANGA

MASTAA watatu wa Simba wameanza kwa majanga msimu wa 2023/24 kutokana na kupata maumivu wakiwa kwenye majukumu yao. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 Simba ilishuhudia bingwa wa ligi akiwa ni Yanga chini ya kocha Nasreddine Nabi ambaye hatakuwa ndani ya kikosi cha Yanga kwa msimu wa 2023/24. Yanga kwa sasa ipo chini ya Kocha Mkuu,…

Read More

HIVI NDIVYO MPANGO KAZI WA GAMONDI KIMATAIFA

UPO uwezekano mkubwa wa kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga, Muivory Coast Pacome Zouzoua kuanza katika kikosi cha timu hiyo, kitakachovaana dhidi ya ASAS FC ya nchini Djibouti. Yanga itavaana dhidi ya ASAS katika mchezo wa hatua ya Awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika utakaopigwa leo Agosti 20 Jumapili kwenye Uwanja wa Azam Complex, Mbagala Jijini…

Read More