Yanga SC ni mwendo wa Tunapiga Kichwani Tu

Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga SC ameweka wazi kuwa kwa sasa Yanga SC hakuna suala la kupeana matumaini bali ni mwendelezo wa dozi pale ambapo waliishia. Ipo wazi kwamba Yanga SC ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara kuelekea msimu mpya wa 2025/26. Kwa sasa wana jambo kubwa la Wiki ya Mwananchi ambalo…

Read More

China-Tanzania cooperation gains momentum with launch of “Chinese + Vocational Skills” Training ate closely with UDSM and VETA Kipawa.

The China-Tanzania “Chinese + Vocational Skills” project organized by Henan Lianfei Business Information Consulting Co., Ltd. is implemented at the University of Dar es Salaam (UDSM) and VETA Kipawa ICT Centre. The short-term project will help young people master the practical skills necessary for Tanzania’s industrial transformation and sustainable development and empower them to acquire…

Read More

TAIFA STARS KAZINI LEO

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo Septemba 5 2025 kitakuwa kazini kwenye mchezo dhidi ya Congo Brazzaville ambao ni maalumu kwa ajili ya kufuzu kombe la Dunia 2026 utakaochezwa  Uwanja wa Alphonce Masamba Debat. Septemba 4 2025 Stars ilifanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa ambao utatumika kwa mchezo wa leo…

Read More

SAFU MPYA YA UONGOZI SIMBA SC IPO HIVI

MO Dewji amemteua Crescentius Magori kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ndani ya Simba SC hivyo mipango yote itakuwa inaendelea chini ya safu mpya ya uongozi. Mo amebainisha kuwa ameamua kufanya hivyo kutokana na  kuhudumu kwa muda mrefu na majukumu yake akiwa mbali ameone ni muhimu Klabu ya Simba SC ipate kiongozi wa bodi ambaye…

Read More

FOUNTAIN GATE WAPO KAMILI KWA 2025/26

UONGOZI wa Fountain Gate umeweka wazi kuwa upo tayari kwa msimu mpya wa 2025/26 unaotarajiwa kuanza rasmi Septemba 17 2025. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 haukuwa imara kwa timu hiyo ambayo ilianza kwa kasi mzunguko wa kwanza na iliandika rekodi ya kuwa ndani ya tano bora kwa muda mrefu kisha ikaporomoka mpaka kuwa timu iliyocheza…

Read More

MBEBA MIKOBA YA AZIZ KI YANGA SC BALAA LAKE ZITO

INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Romain Folz anatajwa kuwa na balaa zito kwenye uwanja wa mazoezi. Ni kiungo ambaye anatajwa kuwa mbeba mikoba ya nyota Aziz Ki ambaye hatakuwa ndani ya kikosi cha Yanga SC msimu wa 2025/26 baada ya kupata changamoto mpya. Anaitwa Mohammed Doumbia inaelezwa kuwa…

Read More

MERIDIANBET YAZINDUA PROMOSHENI YA KIPEKEE – SHINDA SAMSUNG A25 KUPITIA AVIATOR

Katika ulimwengu wa michezo ya kubashiri, ushindi hauishii tu kwenye pesa, sasa unakuja na zawadi za kifahari. Mabingwa wa ubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, wamezindua promosheni kabambe inayowapa wachezaji nafasi ya kujishindia simu mpya kabisa aina ya Samsung A25 kupitia mchezo maarufu wa Aviator. Kwa wapenzi wa michezo ya kubashiri, Aviator si mchezo mpya kwao. Unahusisha…

Read More

HAWA HAPA TIMU ZINAZOTAJWA KUSHUKA DARAJA EPL 2025/26

Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet ni rahisi sana kupasua mshiko uutakao?. Machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa lakini pia mechi kibao zinapatikana hapa. Bashiri timu ambazo unaona msimu ujao zitashuka daraja na mabingwa wa ubashiri hapa. Leeds United ni moja ya timu ambazo nazo zipo kwenye nafasi kubwa ya kushuka daraja msimu ujao kwani…

Read More

HUU NDIO WAKATI WA KUSHINDA ZAIDI NA MERIDIAN BONANZA

Kwa wapenzi wa michezo ya kubashiri, Meridianbet imeleta kitu kipya na cha kusisimua, Meridian Bonanza. Huu ni mchezo wa kasino mtandaoni ulioundwa kwa teknolojia ya kisasa, ukiwa na vipengele vya kipekee vinavyokupeleka karibu na ushindi mkubwa kila unapofanya mzunguko mchezoni. Ni mchezo unaochanganya mbinu, bahati, na msisimko wa kweli. Kipengele cha Ante Bet kinakupa uhuru…

Read More

Times FM kutangaza mubashara Kagame Cup

Msimu mpya wa kombe la Kagame (Kagame Cup) unaanza kesho Septemba 2, 2025 kwa mechi mbili kuchezwa kwenye uwanja wa Major General Isamuhyo, Dar es Salaam, mechi hizo zikitarajiwa kutangazwa mubashara na kituo cha radio cha Times FM. Times FM imeingia ubia na Baraza la Soka Afrika Mashariki na Kati ( Cecafa) kutangaza mashindano hayo…

Read More

KIUNGO WA YANGA SC KUIBUKIA SINGIDA BLACK STARS

NYOTA Clatous Chama inatajwa kuwa amemalizana na Singida Black Stars kwa kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuwa hapo msimu wa 2025/26. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 Chama alikuwa ndani ya kikosi cha Yanga SC ambapo hapo mkataba wake umegota mwisho kwa kuwa alisaini mwaka mmoja. Alikuwa ni mchezaji wa kwanza kutangazwa kuwa Yaga SC akitokea…

Read More