TAZAMA ufundi wa mapigo ya penalti kwenye mchezo wa TRA V Muhimbili kipa kama Ally Salim wa Simba ambaye aliizuia michomo mitatu ya mastaa wa Yanga.
Salim kwenye mchezo wa fainali Ngao ya Jamii aliibuka shujaa Tanga kwa kuokoa penalti tatu alipokuwa langoni dhidi ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi.
Team Canada forward Jonathan David (#7) watches as his shot is saved by the Iceland goalkeeper during an international friendly match between Canada and Iceland at BMO Field in Toronto, Ontario, Canada, on March 28, 2026. (Photo by Indrawan Kumala/NurPhoto) (Photo by Indrawan Kumala / NurPhoto via AFP)