
YANGA YAONGEZA NGUVU ULINZI
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa unahitaji kuwa na ukuta imara ambao utakuwa unalindwa na makipa wenye uwezo mkubwa. Kwenye dirisha dogo Yanga imemuongeza Metacha Mnata ambaye alikuwa anakipiga ndani ya Singida ig Stars ataungana na Diarra Djigui kipa namba moja, Aboutwali Mshery pamoja na Eric Johora. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi…