VIDEO: AHMED ALYY AFUNGUKIA ISHU YA HENOCK INONGA

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa beki wa Simba Henock Inonga hajavunjika baada ya kuchezewa faulo kwenye mchezo dhidi ya Coastal Union. Simba inafikisha pointi tisa sawa na Yanga ambao ni vinara wa ligi msimu wa 2023/24. Katika mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Uhuru ubao ulisoma Simba 3-0…

Read More

BALEKE JINA LAKE LIMESOMA

JEAN Baleke ni nyota wa pili kufunga mabao matatu kwenye mchezo mmoja ndani ya Ligi Kuu Bara. Jina lake limesoma kwenye orodha ya mastaa wenye hat trick Bongo ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Uhuru, Septemba 21 ubao ulisoma Simba 3-0 Coastal Union na mabao yote yalifungwa na…

Read More

MUDA NI SHUJAA WA GAMONDI

KIUNGO mzawa Mudathir Yahya anayekipiga ndani ya Yanga ni shujaa chini ya Miguel Gamondi kutokana na uwezo wake kila anapopata nafasi. Nyota huyo kwenye mchezo dhidi ya Namungo FC uliochezwa Uwanja wa Azam Complex alionyesha mekeke yake alipotokea benchi. Baada ya dakika 90 kwenye mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa ubao ulisoma Yanga 1-0 Namungo FC…

Read More

SIMBA WAKUTANA NA KISANGA UGENINI

NGOMA ni nzito kwa Simba kimataifa baada ya kuruhusu mabao mawili sawa na Yale waliyofunga licha ya kupata nafasi zaidi ya tatu. Ni kisanga kwa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira raia wa Brazil ambaye alianza kushuhudia wakitunguliwa mapema ugenini. Mabao yote ya Simba yamefungwa na Clatous Chama dakika ya 59 na 90 huku…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE KWENYE JAMBO LA WATANZANIA

UONGOZI wa Singida Fountain Gate umeweka wazi kuwa mchezo wao wa kimataifa wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Future ya Misri unaotarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa Azam Complex ni jambo la Watanzania. Timu hiyo inatupa kete yake saa 10 jioni huku mashabiki wakiombwa kujitokeza kwa wingi kuishangalia timu hiyo inayopeperusha bendera ya Tanzania kwenye anga…

Read More

KIMATAIFA: POWER DYNAMO 1-0 SIMBA

UKIWA ni mchezo wake wa kwanza kukaa langoni akiwa na uzi wa Simba kipa Ayoub raia wa Morocco ametunguliwa bao moja. Ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika unaochezwa Zambia, ukiwa na ushindani mkubwa. Bao la kuongoza kwa Power Dynamo limepachikwa dakika ya 28 mtupiaji akiwa ni Joshua Mutale. Mutale anawasumbua walinzi wa Simba wakiongozwa…

Read More

YANGA YATEMBEZA MKWARA HUU KIMATAIFA

KUELEKEA mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Merreikh Waarabu wa Sudan, uongozi wa Yanga umeweka wazi kuwa wachezaji wote wapo tayari kwa ajili ya kupata ushindi katika mchezo huo. Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi inatarajiwa kucheza mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Merreikh unaotarajiwa kuchezwa Septemba 16….

Read More

HUYU HAPA SIMBA KUMTUMIA KIMATAIFA

BAADA ya kushuhudia kikosi chake kikipangwa kuvaana na Al-Ahly katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la African Football League, kocha mkuu wa Simba Mbrazil, Robert Olivieira ‘Robertinho’ amefunguka uwepo wa Luis Miquissone ambaye amewahi kuichezea Al Ahly ni faida kubwa kwao katika kupata baadhi ya mbinu za kuwamaliza. Simba leo ina kibarua cha kusaka…

Read More

KOCHA YANGA AFICHUA SIRI HII YA 5G

KOCHA Mkuu wa Yanga Muargentina Miguel Gamondi amezipa tahadhari timu za Ligi Kuu Bara. Hiyo ni baada ya timu yake kuanza vema kwa kushinda mechi mbili mfululizo mabao 5-0 walipocheza dhidi ya KMC na JKT Tanzania. Yanga pia ilipata ushindi wa mabao 5-1 walipocheza dhidi ya ASAS FC ya nchini Djibouti katika Ligi ya Mabingwa…

Read More

SIMBA KUSEPA BONGO MAPEMA KUWAWAHI WAZAMBIA

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamo ya Zambia uongozi wa Simba umeweka wazi kuwa utaondoka mapema kuwawahi wapinzani wao. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Septemba 16 ikiwa ni wa hatua ya pili Ligi ya Mabingwa Afrika. Timu ya Simba inapeperusha bendera kwenye anga la kimataifa sawa na Yanga katika Ligi…

Read More

ROBERTINHO AKOLEZA DOZI SIMBA

ROBERTO Oliveira ‘Robertinho’ Kocha Mkuu wa Simba, ameweka wazi kuwa, kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni wachezaji wote kuongeza kasi na umakini wawapo ndani ya eneo la 18. Timu hiyo ipo katika maandalizi ya mechi za kitaifa na kimataifa kwa msimu wa 2023/24, pia inapambana kutwaa taji la Ligi Kuu Bara. Mazoezi ya Simba yanafanyika Simba…

Read More

GAMONDI: NAWEKA REKODI MPYA YANGA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, amefichua kuwa, anafahamu timu hiyo ina rekodi mbaya kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kushindwa kucheza hatua ya makundi kwa zaidi ya miaka 20 sasa, hivyo amejiandaa kuandika rekodi mpya. Yanga Septemba 16, mwaka huu, wanatarajiwa kushuka ugenini nchini Rwanda kuvaana na Al Merreikh ya Sudan katika…

Read More

COASTAL UNION INAJITAFUTA KIMATAIFA

UONGOZI wa Coastal Union umesema  utahakikisha kuwa unafanya vizuri kwenye ligi kuu msimu huu ili kupata nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa msimu ujao. Mpaka  sasa kwenye ligi Coastal Union ipo nafasi ya 10 ina pointi moja baada ya kucheza michezo miwili baada ya kupoteza  mchezo mmoja na kutoa sare mchezo mmoja. Timu hiyo iliwahi…

Read More