
DAU LA HAALAND LAFICHWA
DAU la nyota kikosi cha Borussia Dortmund, Erling Haaland ambaye anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Real Madrid limefichwa kwa wakati huu. Ripoti zinaeleza kuwa Haaland mpaka sasa bado hajafanya maamuzi ya wapi atakuwa kwa ajili ya kupata changamoto mpya licha ya timu nyingi kutajwa kuwania saini yake ili kuweza kumpata mshambuliaji huyo Mabosi…