KIKOSI CHA WACHEZAJI 23 KITAKACHOINGIA KAMBINI DESEMBA 6

KIM Poulsen, Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania ameteua wachezaji 23 ambao wataingia kambini Desemba 6, kesho kwa ajili ya kufanya maandalizi kwa mchezo wa kirafiki.

Mchezo huo ni maalumu kwa ajili ya kusherehekea miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika na itakuwa dhidi ya Uganda.

Metacha Mnata

Haroun Mandanda

Musa Mbisa

Nathaniel Chilambo

Kevin Kijiri

Hans Masoud

Nickson Kibabage

Oscar Masai

Abdulazack Mohamed

Lusajo Mwaikenda

Mangalo

Nashoon Naftali

Tariq Simba

Sospeter Bajana

Hassan Nassoro

Abdul Hamis

Meshack Abraham

Cleophance Mkandala

Denis Nkane

Rashid Juma

Vitalis Mayanga

Anuary Jabir

Lusajo