YANGA 1-0 REAL BAMAKO

YANGA wametumia dakika 10 kuwanyanyua mashabiki wao ndani ya Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho. Ni hatua ya makundi ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 1-0 Real Bamako. Yuleyule Fiston Mayele dakika ya 8 kawatuliza Bamako kwa kufunga bao liliipa uongozi Yanga. Umakini mdogo kwa Mayele ndani ya dakika 45 za…

Read More

HELLO THIS IS ANFIELD

THIS is Anfield, kwenye mlango wa kuingilia uwanja wa Anfield unaotumiwa na Liverpool kipo kibango kilichoandikwa maneno hayo. Hii ni Anfield, wakati Jurgen Klopp anatua Liverpool aliwakataza wachezaji kukigusa mpaka pale watakapochukua kombe kubwa. Si kitu kidogo, sio neno la kawaida.Aliwahi kuwepo Bill William Shankly, baba wa Liverpool, kabla hajafa aliwaambia siku akifa mwili wake…

Read More

WIKI YATIMIA KWA MANCHESTER UNITED

LIVERPOOL hawakuwa na huruma kwenye mchezo wa Ligi Kuu England baada ya kushinda jumla ya mabao 7 huku wakisepa na pointi tatu mazima. Ni Cody Gakpo alitupia kambani mabao mawili dakika ya 43 na 50, Darwin Nunez pia alitupia kambani mbili dakika ya 47 na 75. Mohamed Salah alitupia mawili dakika ya 66 na 83…

Read More

YANGA NGOMA MPAKA ROBO FAINALI CAF

UONGOZI wa Yanga umewaambia mashabiki kuwa wasiwe na presha ngoma itapigwa mpaka hatua ya robo fainali kwenye Kombe la Shirikisho Afrika. Yanga ipo nafasi ya pili kwenye hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa imekusanya pointi nne kibindoni baada ya kucheza mechi tatu. Kwenye mchezo dhidi Real Bamako uliochezwa Uwanja wa US du 26…

Read More

EL CLASICO NI CLASSIC

LEO Alhamisi kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu wenye uwezo wa kuingiza mashabiki 81,044 kutakuwa na mechi kali ya wapinzani wa jadi nchini Hispania, kati ya Real Madrid na Barcelona, maarufu kama El Clasico. Ndiyo, El Clasico maana yake ni ‘The Classic’, ikimaanisha mechi kati ya Madrid na Barcelona ni bora. Hii ni mechi ya watani…

Read More

KIMATAIFA YANGA KUJA NA DOZI YAKIPEKEE

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa ushindi ambao waliupata dhidi ya TP Mazembe Uwanja wa Mkapaule ulikuwa ni kionjo. Kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi Yanga ilishinda mabao 3-1 huku watupiaji wakiwa ni Kennedy Musonda, Mudhathir Yahya na Tuisila Kisinda. Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema kuwa propaganda ambazo zinasemwa kuhusu…

Read More

MANCHESTER UNITED YATWAA CARABAO

KOMBE la Carabao mikononi mwa Manchester United baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Newcastle United Casemiro alianza kufunga dakika ya 33 na nyota Steven Batman alijifunga dakika ya 39. Mastaa wa Manchester united wamejawa na furaha tele kwa kutwaa taji hilo ambalo ni kubwa kwao. Nahodha Harry Maguire amekabidhwa taji hilo kwenye mchezo…

Read More

YANGA YAGAWANA POINTI KIMATAIFA

IKIWA Uwanja wa du 26 Mars nchini Mali imeshudia ubao ukisoma Real Bamako 1-1 Yanga. Mchezo wa leo ambao ni wa hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Yanga ilianza kupata bao la kuongoza dakika ya 60 kupitia kwa nyota wao Fiston Mayele. Mayele alipachika bao hilo akiwa nje kidogo ya 18 na kuwanyanyua mashabiki wa…

Read More

REAL BAMAKO 0-0 YANGA KIMATAIFA

UBAO wa Stade du 26 Mars, Mali kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika unasoma Real Bamako 0-0 Yanga. Ni mchezo wa hatua ya makundi ambapo timu zote mbili zipo kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Wawakilishi kutoka Tanzania kwenye anga la kimataifa wameanza na washambuliaji wawili ambao ni Fiston Mayele na Kennedy Musonda. Kiungo…

Read More

CHELSEA IMEBUTULIWA HUKO

TOTTENHAM imesepa na pointi tatu muhimu katika mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Chelsea. Mabao ya Oliver Skipp dakika ya 46 na Harry Kane dakika ya 82 yameipa ushindi Spurs. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Tottenham Hotspur umesoma Tottenham 2-0 Chelsea. Chelsea inabaki na pointi 31 ikiwa nafasi ya 10 huku…

Read More

NABI:REAL BAMAKO NAWATAMBUA, MCHEZO UTAKUWA MGUMU

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa anawafahamu wapinzani wake Real Bamako hivyo ataingia kwa tahadhari. Leo Februari 26 Yanga inatupa kete yake ya tatu kwenye hatua za kimataifa katika Kombe la Shirikisho hatua ya makundi. Kete ya kwanza Yanga ilipoteza ugenini dhidi ya US Monastir kisha ikpata ushindi dhidi ya TP Mazembe…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA VIPERS YA UGANDA

SIMBA leo ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Vipers ya Uganda mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Kikosi cha Simba ambacho kitaanza leo kipo namna hii:-Aishi Manula ameanza langoni, Shomari Kapombe, Henock Inonga, Joash Onyango na Mohamed Hussein katika ukuta. Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute katika viungo wakabaji na Kibu Dennis, Ntibanzokiza na Clatous…

Read More