MTIBWA SUGAR YAPOTEZA POINTI TATU MANUNGU
IKIWA kasi ya Simba itaendelea kwa namna hii mpaka kwenye mechi za Ligi ya Mabingwa angalau ule ubora wa Simba kwenye anga za kimataifa utarejea. Ubao wa Uwanja wa Manungu umesoma Mtibwa Sugar 0-3 Simba na kaz yote ilimalizwa kipindi cha kwanza kwa mabao ya Jean Baleke. Mshambuliaji Moses Phiri licha ya kutofunga ametengeneza nafasi…