SIMBA KUIVAA RAJA CASABLANCA LEO

MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi dhidi ya Raja Casablanca ni leo Machi 31 nchini Morocco. Mchezo huo unachezwa Morocco ikiwa ni Machi 31 lakini Tanzania itakuwa ni Aprili Mosi 2023. Ni mchezo wa mwisho hatua ya makundi kwa timu hizi mbili ambazo zote zimetinga hatua ya robo fainali. Simba inakumbuka mchezo…

Read More

SIMBA KAMILI KUIKABILI RAJA CASABLANCA

ROBERTO Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa ameidaa vizuri timu kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca ya Morocco. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa nchini Morocco Machi 31 saa 4:00 usiku kwa Afrika Mashariki hapa nyumbani Tanzania itakuwa ni Aprili Mosi saa 7:00 usiku. Miongoni mwa wachezaji ambao wapo…

Read More

MESSI AFANYA KWELI ARGENTINA

TIMU ya taifa ya Argentina inayonolewa na Kocha Mkuu,Lionel Scaloni imeibuka na ushindi wa mabao 7-0 Curacao. Ni mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Unico Madre de Ciudades. Katika mchezo huo Lionel Messi ambaye ni nahodha alitupia kambani mabao matatu ilikuwa dakika ya 20,33,37. Nicolas Gonzalez dakika ya 23,Enzo Fernandez dakika ya 35,Angel Di Maria…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA STARS DHIDI YA UGANDA

UWANJA wa Suez Canal huko Ismailia Misri saa 11:00 jioni Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Uganda. Huu ni mchezo wa kuwania tiketi ya kufuzu Afcon 2023 kikosi hiki hapa kinachotarajiwa kuanza:- Aishi Manula Dickson Job Novatus Dismas Bakari Mwamnyeto Ibrahim Bacca Himid Mao Simon Msuva Mzamiru…

Read More

SABABU YA PROGRAM MAALUM KWA FEI

KIUNGO wa Yanga na timu ya Taifa, Taifa Stars, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amepewa mazoezi maalumu kwa ajili ya kumuongezea fitinesi kuelekea kwenye mchezo wa leo dhidi ya Uganda. Stars leo itakuwa mgeni wa Uganda kwenye Uwanja wa Suez Canal, mjini Ismailia nchini Misri ukiwa ni mchezo wa kuwania kufuzu Afcon. Kumbuka Desemba mwaka jana…

Read More

STARS IMEANDALIWA VILIVYO, MTIHANI NI LEO

Na Saleh Ally, Ismailia TANGU siku ya kwanza ya kambi ya timu taifa hapa jijini Ismailia nchini Misri nimekuwa hapa nikishuhudia. Timu ya taifa ambayo ni mara ya kwanza kocha mpya anaanza kazi lakini inakwenda katika mechi muhimu sana dhidi ya Uganda, leo. Mechi ya kuwania kufuzu kuwania kucheza Afcon, itakuwa ni ngumu kwa kuwa…

Read More

KOCHA MAN U ANAMKUBALI MARTIAL

TEN Hag, Kocha Mkuu wa Manchester United ameweka wazi kuwa ana imani na mshambuliaji wake Anthony Martial. Mshambuliaji huyo hajawa kwenye mwendo bora ndani ya timu hiyo lakini kocha amekubali kazi yake. Nyota huyo mwenye miaka 27 amekuwa na msimu mbaya chini ya Ten Hag ambapo amekuwa na majeraha ya mara kwa mara akiwa amekosa…

Read More

STARS KAZINI LEO FEI APEWA PROGRAM MAALUM

KIUNGO wa Yanga na timu ya Taifa ya Tanzania Feisal Salum, Fei Toto amepewa program maalumu nchini Misri ili kurejea kwenye ubora wake. Mazoezi hayo ni maalumu kwa ajili ya kumuongezea fitinesi kuelekea kwenye mchezo wa leo Machi 24 dhidi ya Uganda. Stars ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo dhidi ya Uganda Uwanja wa…

Read More

STARS KAMILI KUIKABILI UGANDA

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars Adel Amrouche amesema kuwa wachezaji wapo tayari kwa mchezo dhidi ya Uganda. Huo ni mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda utakaochezwa Machi 24, 2023 Uwanja wa Suez Canal, Ismailia, Misri. Kocha huyo amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo huo wakiwa wapo imara…

Read More

BARCELONA WANAKIMBIZA LA LIGA

BARCELONA inaongoza La Liga ikiwa imekusanya pointi 68 baada ya kucheza mechi 26. Wanaofuata ni Real Madrid hawa nafasi ya pili na pointi zao kibindoni ni 56 wamecheza mechi 26. Mchezo wao walipokutana Uwanja wa Camp Nou Jumapili ya Machi 19, ubao ulisoma Barcelona 2-1 Real Madrid. Ni Sergi Roberto dakika ya 45 na Franck…

Read More

YANGA 1-0 US MONASTIR

UBAO wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 1-0 US Monastri ikiwa ni mchezo wa hatua ya makundi Kombe la Shirikisho. Yanga wanapambana kusepa na pointi tatu muhimu kujihakikishia nafasi ya kutinga hatua ya robo fainali. Bao la kuongoza limefungwa na Kenned Musonda kipinda cha kwanza dakika ya 33. Musonda ametimiza majukumu yake akitumia pasi ya…

Read More

ARSENAL YATEMBEZA 4G

ARSENAL haina utani baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Ni Gabrie Martinell dakika ya 28,Bukayo Saka alitupia kambani mawili dakika ya 43 na 74 na ile kamba ya nne ni mali ya Graniti Xhaka ilikuwa dakika ya 55. Bao pekee la wapinzani wao…

Read More

SENEGAL NDANI YA BONGO

INAINGIA kwenye rekodi mpya ndani ya Bongo kwa mchezaji anayecheza Ligi Kuu Bara kuitwa timu ya Taifa ya Senegal. Ni Pape Ousmane Sakho ameitwa kwenye Timu ya Taifa ya Senegal kwenda kujumuika na wenzake kwaajili ya maandalizi ya mchezo wa kutafuta tiketi ya kufuzu AFCON 2023 dhidi ya Msumbiji. Sakho bado hajawa kwenye mwendo mzuri…

Read More

CITY YAPIGA MTU KIFURUSHI CHA WIKI

MANCHESTER City kwenye mchezo wa UEFA Champions League wamemchapa RP Leipzig mabao 7-0. Uwanja wa Etihad ulisoma hivyo na kuwapa nafasi ya kusonga mbele kwa jumla ya mabao 8-0. Ni Erling Haaland alitupia kambani dakika ya 22 kwa mkwaju wa penalti, 24,45,53 na 57 mwamba aliwapa tabu Sana. Ilkay Gubdogan alitupia dakika ya 49 na…

Read More

MANCHESTER UNITED YAGAWANA POINTI

WAKIWA Uwanja wa Old Trafford wamegawana pointi mojamoja na timu inayoshikilia mkia. Ubao umesoma Manchester United 0-0 Southampton kwenye msako wa pointi tatu. United waliyeyusha dakika 90 wakiwa pungufu baada ya nyota wao Casemiro kuonyeshwa kadi nyekundu dakika ya 34. Sasa United inafikisha pointi 50 nafasi ya tatu huku Southampton ikiwa nafasi ya 20 na…

Read More