HALI NI NGUMU KWELIKWELI TIMU ZIPAMBANE

KAZI ni ngumu wa kweli kwa sasa kutokana na ligi kuwa karibu na mwisho huku kila timu ikizidi kupambana kusaka ushndi ndani ya dakika 90. Hakika mwendelezo wa baadhi ya timu kwenye uwanja sio mzuri kutokana na matokeo ambayo wanayapata kuwa hayana a furaha kwao. Licha ya hayo kutokea ni muhimu kuzidi kuwa na mipango…

Read More

MWENDO WA TP MAZEMBE NA YANGA WALIKIMBIZANA KWELI

NJE ndani TP Mazembe kaacha pointi tatutatu mbele ya Yanga walipokutana kwenye mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi wote wakiwa kundi D. Yanga wamekamilisha mechi ya sita wakiwa wanaongoza kundi na kibindoni wana pointi 13, hapa tunakuletea kazi ilivyokuwa Uwanja wa TP Mazembe:- Lenny Junior Kipa huyu aliokoa hatari dakika ya 6,14,15…

Read More

KIMATAIFA, MWENDO WA KUSAKA REKODI

MCHEZA kwao hutunzwa ipo wazi lakini hata ugenini pia kuna uwezekano wa kucheza na kutunzwa ikiwa wawakilishi wa Tanzania kimataifa Simba na Yanga wakitumia makosaya wapinzani wao kwa umakini. Simba ina kibarua cha kutupa kete ya mwisho hatua ya makundi usiku wa kuamkia Aprili Mosi kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca na…

Read More

WACHEZAJI TAHADHARI MUHIMU UWANJANI

UPENDO ni bora zaidi kwenye ulimwengu wa mpira kwa kuwa unatuunganisha pamoja popote ambapo tupo na hivyo ni muhimu kwa wale ambao wanacheza kuwa makini. Muda huu kuna baadhi ya wachezaji wapo kwenye mapumziko kutokana na timu za taifa kuwa na kazi kwenye kuwania tiketi ya kufuzu Afcon. Hii ipo wazi lakini wapo wachezaji ambao…

Read More

MSAKO WA VIPAJI UWE NA MWENDELEZO

MWENDELEZO mzuri kwenye uwekezaji kwa vijana unahitajika kuwa wa vitendo kwa kila timu na sio kuishia kupiga picha na porojo ambazo zinaishi kila siku. Ipo wazi kwa sasa vijana wengi wanaopewa nafasi kikosi cha kwanza kwenye timu za wakubwa wanahesibaki hasa ukiziweka kando Azam FC, Mtibwa Sugar, Ihefu na Kagera Sugar. Kuna timu ni ngumu…

Read More

KARIAKOO DABI MAKOSA YA KIBINADAMU YASIPEWE NAFASI

LIGI ya Wanawake Tanzania inazidi kuwa na ushindani mkubwa kutokana na kila timu kufanya kazi kubwa kusaka ushindi. Unaona kwamba msimu huu mpaka sasa bado hakuna timu ambayo imejihakikishia nafasi ya kutwaa ubingwa kutokana na mipango kazi ambayo inafanywa. Kwa sasa hilo ni jambo ambalo linapaswa kuendelea kupewa uangalizi na umakini hasa kwa kuboresha mazingira…

Read More

CHAMA KAMA CHAMA ANAKIMBIZA CAF

CLATOUS Chama mwamba wa Lusaka kwenye mashindano ya kimataifa anafanya vizuri ikiwa ni nembo kwa wazawa kushtuka na kuiga namna anavyofanikiwa. Anaingia kwenye orodha ya wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa CAF mchezo wa tano akiwa na mshikaji wake Sadio Kanoute hawa wote wapo ndani ya Simba na ikumbwe kuwa kwenye mechi ya nne alisepa…

Read More

AZAM FC REKODI ZA NYOTA WAO ZINASOMA HIVI

KUNA vingi vya kujivunia kwenye ardhi ya Tanzania ikiwa ni pamoja na mlima Kilimanjaro kutokana na kuwa na kilele chenye ubora. Kwenye ulimwengu wa soka kuna maskani ya Azam FC yalipo maskani ya timu bora ambayo inapambana kuonyesha ubora kwa vitendo, hapa tupo nao kwenye mwendo wa data kutazama kazi zao namna hii:- Mechi nyingi…

Read More

YANGA V US MONASTIR LEO WAKUBWA KAZINI

LEO ndiyo leo asemaye kesho huyo ni muongo hatimaye ile siku imewadia na kazikazi kwa wakubwa inatarajiwa kufanyika Uwanja wa Mkapa. Ni wenyeji Yanga chini ya kocha Nasreddine Nabi raia wa Tunisia kwenye msako wa pointi tatu dhidi ya US Monastir vinara wa kundi D wakiwa na pointi 10 wote wamecheza mechi nne. Hapa tunakuletea…

Read More

TABASAMU KIMATAIFA LINAHITAJIKA

MBALI kimataifa kila mchezaji anapenda kuona timu yake inafika hata mashabiki pia wanafikiria jambo hilo hasa ukizingatia kwamba mechi zinazofuata zinachezwa Uwanja wa Mkapa. Kuna furaha kubwa kwenye mechi za kimataifa zinapochezwa Uwanja wa Mkapa mbele ya mashabiki wa timu husika ambao wamekuwa wakijotokeza kwa wingi. Hakika katika hili ni muhimu kila mmoja kuguswa na…

Read More

KIMATAIFA MUHIMU KUUNGANA KUTUSUA

IKIWA watakuja wageni na kuondoka na ushindi nyumbani kweye hatua za makundi mechi za kimataifa ni maumivu makubwa kwelikweli. Hiana maana kwamba waohawana uwezo wa kushinda lakini ni namna ya uhitaji ulivyo mkubwa kwa sasa kwa kila timu hasa Simba na Yanga. Mechi za nyumbani kwa kila mmoja kwa sasa zimeshikilia maamuzi ambayo yataleta hatua…

Read More

BADO MUDA WA KUPAMBANA KUFIKIA MALENGO

MUDA wa kukamilisha kazi kwenye Ligi Kuu Bara ambayo ilianza kwa kasi unazidi kusogea kutokana na kila timu kubakiwa na mechi chache mkononi. Kila mmoja kwa sasa anapambana kuona namna gani atafikia yale malengo ambayo alikuwa ameanza nayo kwa msimu wa 2022/23 ambao unazidi kwenda kwa kasi. Hakuna ambaye anapenda kuona kwamba matokeo anayopaa yanakuwa…

Read More

HAT TRICK ZA WAGENI ZIWAZINDUE WAZAWA

MIPIRA mingi kwenye ligi kwa sasa ni zawadi kwa wageni huku wazawa wakiwa mashuhuda wa jambo hili lazima wazinduke waongeze juhudi. Katika idadi ya hat trick tano ambazo zimefungwa kwenye ligi msimu huu ni mzawa mmoja pekee ambaye ni John Bocco yeye kafanya hivyo mara mbili. Waliobaki watatu wote ni wachezaji wakigeni hili liwape hasira…

Read More

HELLO THIS IS ANFIELD

THIS is Anfield, kwenye mlango wa kuingilia uwanja wa Anfield unaotumiwa na Liverpool kipo kibango kilichoandikwa maneno hayo. Hii ni Anfield, wakati Jurgen Klopp anatua Liverpool aliwakataza wachezaji kukigusa mpaka pale watakapochukua kombe kubwa. Si kitu kidogo, sio neno la kawaida.Aliwahi kuwepo Bill William Shankly, baba wa Liverpool, kabla hajafa aliwaambia siku akifa mwili wake…

Read More

HIVI NDIVYO NGOMA ILIVYOPIGWA MPAKA ROBO FAINALI

NGOMA ilipigwa na mwisho wa siku timu nane zimetinga hatua ya robo fainali Kombe la Azam Sports Federation. Hapa  tunakuletea namna kazi ilivyokuwa kwa wapambanaji hao kusaka ushindi namna hii:- Simba 4-0 African Sports, Uwanja wa Uhuru Ilikuwa Machi 2,2023 ambapo mabao ya Simba yalifungwa na Jean Baleke dakika ya 36,Kennedy Juma dakika ya 47,…

Read More