KAPOMBE BADO HAJAPATA MBADALA WAKE SIMBA
SHOMARI Kapombe beki wa kazi ndani ya kikosi cha Simba ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Roberto Oliveira. Pasi yake ya sita kwenye ligi ilikuwa dhidi ya watani wa jadi, Yanga Uwanja wa Mkapa. Kwenye mchezo huo baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 2-0 Yanga. Ikiwa hatakuwa fiti hapo ni pasua kichwa kwa…