BOCCO AWEKA REKODI,KIBU MAJANGA MATUPU
WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Jwaneng Galaxy ya Botswana unaotarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa Mkapa, nyota wawili wa Simba waliweka rekodi zao za kipekee. Ni nahodha John Bocco ambaye ni mchezaji bora wa msimu wa 2020/21 na mshikaji wake Kibu Dennis katika suala…