
KIUNGO WA SIMBA KUIBUKIA DTB,TAMBWE KUONGEZEWA NGUVU
OFISA Mtendaji Mkuu wa DTB, Muhibu Kanu ameweka wazi kuwa wapo kwenye mpango wa kuongeza nguvu kwa upande wa safu ya ushambuliaji ili kumuongezea nguvu mshambuliaji Amiss Tambwe. Kwa sasa timu hiyo ipo kwenye mchakato wa mwisho wa kumtangaza James Kotei ambaye ni kiungo mkabaji na aliwahi kucheza ndani ya kikosi cha Simba. Ndani ya…