Saleh
ZLATAN BADO YUYUPO AC MILAN
NYOTA wa Klabu ya AC Milan,Zlatan Ibrahimovic anatarajiwa kuendelea kutumika ndani ya kikosi hicho kwa msimu mwingine tena kwa mujibu wa taarifa.
Nyota huyo mwenye...
NAMNA CAF WALIVYOWEKA ZUIO KOCHA MPYA SIMBA
IMEELEZWA kuwa Rais wa Heshima ya Klabu ya Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ amezuia mipango ya kumleta Kocha Mkuu wa APR ya nchini Rwanda, Mohammed...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA ALHAMISI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Alhamisi
BIASHARA UNITED YAPATA KOCHA MPYA
UONGOZI wa Biashara United umetangaza benchi jipya la ufundi kwa ajili ya kumaliza mechi nne za msimu 2021/22.
Ni Vivier Bahati ambaye alikuwa kocha mkuu,...
TANZANIA YAPOTEZA MBELE YA ALGERIA
TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars inayonolewa na Kocha Mkuu,Kim Poulsen leo Juni 8,2022 imeambulia kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Timu ya...
BAYERN WAZIDI KUMKOMALIA MANE
BAYERN Munich wanajiandaa kuwasilisha ofa ya pili ya dau la pauni milioni 30, kwa ajili ya kukamilisha usajili wa staa wa kimataifa wa Liverpool...
UBAGUZI WA RANGI WAITESA ENGLAND
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya England, Gareth Southgate amekiri kuwa kwenye mtego wa kupata ugumu wa kuchagua wapigaji wa penalti kwenye kikosi...
MAN CITY KUMNG’OA SAKA ARSENAL
Manchester, England
MABINGWA wa Ligi Kuu England, Manchester City wametajwa kuwa wanafuatilia kwa karibu mustakabali wa staa wa Arsenal, Bukayo Saka katika kipindi cha miaka...
SAIDO: SIKUTAKA KUONDOKA YANGA
MARA baada ya Yanga kutangaza kuachana rasmi na Said Ntibazonkiza ‘Saido’, mashabiki na wadau wengi wa soka walishitushwa na taarifa hiyo wengine hawakuamini kabisa...
WAKALI WA KUTUPIA BONGO
NDANI ya Ligi Kuu Bara kuna wakali wa kucheka na nyavu ambao wanatimiza majukumu yao katika timu zao.
Ni George Mpole mali ya Geita Gold...
PLATIN NA BLATTER KESI YAO INAUNGURUMA
SEPP Blatter na Michel Platin ni majina makubwa katika soka ambao kwa pamoja leo wanaingia mahakamani kuendelea kujibu mashtaka ya kujihusisha na rushwa enzi...
MANCHESTER CITY WAMTAKA SAKA
IMEELEZWA kuwa mabingwa wa Ligi Kuu England, Manchester City wanahitaji saini ya staa wa Arsenal, Bukayo Saka katka kipindi cha miaka miwili ya mwisho...
YANGA YAPIGA 8-0 FRIENDS RANGERS
KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi jana kiliibuka na ushindi wa mabao 8-0 Friends Rangers katika mchezo wa kirafiki.
Mabao ya Yanga...
POULSEN:ALGERIA NI WAGUMU ILA TUTAPAMBANA
KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Kim Poulsen amesema wataingia kwa kuwaheshimu wapinzani wao Algeria kwa kuwa ni timu imara...
SENZO ATAJA SABABU ZA KUKUSANYA BILIONI YANGA
MKURUGENZI Mtendaji wa Klabu ya Yanga, Senzo Mbatha Mazingiza amesema kupitia mfumo wa kidigitali wa mabadiliko ya Klabu ya Yanga ulioasisiwa mapema mwaka huu...
SIMBA WATAJA SIKU YA KUMTANGAZA KOCHA MPYA
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa unatarajia kumaliza mchakato wa kupitia maombi na kumchagua kocha mpya wa kikosi hicho katika kipindi cha wiki mbili...