Saleh
YANGA YAMPONZA PABLO SIMBA
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba anatajwa kuwa kwenye hesabu za kufutwa kazi kutokana na mwendo wa kusuasua wa timu hiyo.
Habari zinaeleza kuwa kauli...
KLOPP ANAAMINI WATAREJEA WAKIWA BORA MSIMU UJAO
JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool amesema kuwa timu hiyo itarejea kwa kishindo kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao na kuweza kutwaa taji...
BAO LA FEI KWA SIMBA THAMANI YA BILIONI
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesesema kuwa bao alilofuga Feisal Salum mbele ya Simba ni la viwango vikubwa na thamani yake ni bilioni.
Feisal...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
COASTAL UNION YATINGA HATUA YA FAINALI,KOMBE LA SHIRIKISHO
COASTAL Union ya Tanga leo Mei 29 imekata tiketi ya kutinga hatua ya fainali Kombe la Shirikisho kwa ushindi mbele ya Azam FC.
Ilikuwa dakika...
COASTAL UNION 0-0 AZAM FC
COASTAL Union 0-0 Azam FC, mshindi atapatikana kwa mikwaju ya penalti Uwanja wa Sheikh Amri Aeid Karume,Arusha.
Dakika 120 zimekamilika bila timu hizi kufungana.
Hivyo mshindi...
MINZIRO ANATAKA KUMALIZA TANO BORA
FELIX Minziro, Kocha Mkuu wa Geita Gold amesema kuwa wanahitaji kumaliza ligi ndani ya tano bora hivyo wataendelea kupambana kufanikisha malengo yao.
Mchezo uliopita ubao...
YANGA YATUPA DONGO KIMTINDO SIMBA
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amewapiga dongo kiaina wapinzani wao Simba kwa kubainisha kwamba mashabiki wa timu iliyoshinda wanapaswa kuamka mapema wengine saa...
AZAM FC YAWAITA MASHABIKI ARUSHA
ZAKARIA Thabit, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa kwa sasa mashabiki wa Azam FC wana kazi moja tu kujitokeza kwa wingi Uwanja wa...
COASTAL UNION:AZAM FC WANA GARI ZURI,TIMU ZURI
WAKATI leo Mei 29 Coastal Union ikitarajiwa kutupa kete yake mbele ya Azam FC kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali, Kombe la Shirikisho,...
UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili
REAL MADRID MABINGWA LIGI YA MABINGWA ULAYA
REAL Madrid wametwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kuitungua bao 1-0 Liverpool kwenye mchezo wa hatua ya fainali iliyochezwa Uwanja wa de...
YANGA YATINGA FAINALI KWA KUITUNGUA SIMBA
KIKOSI cha Simba kimepoteza mchezo wa hatua ya nusu fainali mbele ya Yanga kwa kufungwa bao 1-0 uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba.
Pablo Franco ameongoza...
HT:YANGA 1-0 SIMBA, NUSU FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO
UWANJA wa CCM Kirumba, dk 45 za kipindi cha kwanza kwa watani wa jadi kutoana jasho zimekamilika na ubao unasoma Yanga 1-0 Simba.
Dakika 15...
BENO KUANZA,KIKOSI CHA SIMBA V YANGA
KIKOSI cha Simba ambacho kitaanza dhidi ya Yanga, Uwanja wa CCM Kirumba kipo namna hii:-
Beno Kakolanya
Jimmysone Mwanuke
Zimbwe
Joash Onyango
Henock Inonga
Taddeo Lwanga
Pape Sakho
Sadio Kanoute
Chris Mugalu
Mzamiru
Kibu Dennis
Akiba
Manula
Ally
Gadiel
Kennedy
Nyoni
Bwalya
Kagere
Mhilu
KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOANZA DHIDI YA SIMBA
KETE ya Yanga dhidi ya Simba, Uwanja wa CCM Kirumba hatua ya nusu fainali ipo namna hii:-
Djigui
Djuma
Kibwana
Mwamnyeto
Job
Bangala
Aucho
Sure Boy
Feisal
Mayele
Makambo
KILA LA KHERI KWENYE NUSU FAINALI,UMAKINI UNAHITAJIKA
LEO ni nusu fainali ya Kombe la Shirikisho ambapo watani wa jadi Yanga na Simba wanatarajiwa kumenyana kwenye mchezo unaosubiriwa kwa shauku kubwa.
Hamna namna...