Baada ya Miaka 23, Prince Harry Arejea Uwanjani Sydney Kwenye Mechi ya Raga

Baada ya miaka 23 kupita, Prince Harry anatarajiwa kurejea kwenye uwanja wa raga jijini Sydney  tukio linaloamsha kumbukumbu za ushindi mkubwa wa England national rugby union team kwenye Rugby World Cup 2003. Miaka hiyo, Harry alikuwepo uwanjani wakati Jonny Wilkinson alipofunga drop goal ya mwisho iliyowapa ushindi England dhidi ya Australia national rugby union team…

Read More

Azam FC 4-0 Fountain Gate FC

Azam FC 4-0 Fountain Gate FC ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo Aprili 12, 2026 Uwanja wa Azam Complex ikiwa ni hatua ya 16 bora. Matajiri wa Dar waligawa mchezo kwa kila dakika 45 wakipata magoli mawili ambapo walikwenda mapumziko ubao ukisoma Azam FC 2-0 Fountain Gate na kipindi cha pili wakaongeza magoli mawili….

Read More

Singida Black Stars 5-1 Mbeya City FC

Singida Black Stars 5-1 Mbeya City FC matokeo ya mchezo wa leo Aprili 12, 2026 kwenye hatua ya 16 bora CRDB Federation Cup. Ni mchezo ambao umechezwa Uwanja wa Airtel huku wenyeji Singida Black Stars wakikata tiketi yakutinga hatua ya robo fainali kwa ushindi mnono dhidi ya wageni ndani ya dakika 90. Magoli ya Singida…

Read More

Yanga SC 1-0 TMA Stars CRDB Federatin Cup

Yanga SC 1-0 TMA Stars CRDB Federatin Cup ni matokeo ya mchezo wa leo hatua ya 16 bora ambao umechezwa Uwanja wa KMC Complex. Goli la ushindi la Yanga SC limefungwa na kiungo mshambuliaji Maxi Nzengeli dakika ya 69 ya mchezo. Ni wazi kuwa Yanga SC ni mabingwa watetezi wa taji hilo hivyo wanaendelea safari…

Read More