Yanga Yafafanua Maendeleo ya Ujenzi wa Uwanja na Mkakati wa Kukuza Kiswahili Afrika
Klabu ya Yanga imeeleza kuwa imepiga hatua kubwa katika mradi wa ujenzi wa uwanja wake mpya, ikiwa ni sehemu ya mkakati mpana wa kuboresha miundombinu ya klabu na kuongeza ushindani kimataifa. Akizungumza Rais wa Klabu ya Yanga, Mhandisi Hersi Said ameeleza kuwa mchakato wa ujenzi umefikia hatua ya juu baada ya kukamilika kwa michoro na…