Mbeya City wapindua meza mbele ya KMC FC
MBEYA City hawataki utani baada ya kupindua meza kibabe mbele ya KMC FC katika mchezo wa NBC Premier League, Aprili 3, 2026, Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Manyara. Licha ya KMC FC kuanza kufunga magoli kwenye mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa walikwama kulinda ushindi huo na mwisho ubao ukasoma Mbeya City 3-2 KMC FC wakipishana…