Simba Kuikabili TRA, Dodoma Jiji na Fountain Gate jijini Arusha
Klabu ya Simba imeondoka asubuhi ya leo Aprili 7, 2026 kuelekea Arusha kwa ajili ya kuanza ratiba ya michezo mitatu mfululizo itakayochezwa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Stadium. Katika kikosi hicho, Simba imemjumuisha kiungo Elie Mpanzu ambaye anakosa michezo miwili iliyopita dhidi ya Coastal Union na Azam FC kutokana na majeraha. Habari njema kwa…